wapi dr mzuri wa circumcision Dar?

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
wanajamvi naomba mnijuze dr mzuri wa circumcision jijini dar kamanda wangu amefkkia umri wa tohara. nimesikia habari ya plastic circumcision ambayo haikuwepo enzi zetu what's it?
 
Sijui unaishi wapi, lakini sisi tunaokaa maeneo ya Kariakooo na city Centre ngariba wa watoto wetu ni Dr Juma, yupo mtaa wa Swahili/Rufiji, anauzoefu tosha wa fani hiyo.
 
Back
Top Bottom