wanajamvi naomba mnijuze dr mzuri wa circumcision jijini dar kamanda wangu amefkkia umri wa tohara. nimesikia habari ya plastic circumcision ambayo haikuwepo enzi zetu what's it?
Sijui unaishi wapi, lakini sisi tunaokaa maeneo ya Kariakooo na city Centre ngariba wa watoto wetu ni Dr Juma, yupo mtaa wa Swahili/Rufiji, anauzoefu tosha wa fani hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.