Habari,
Kwa Arusha ni wapi nnaezakupata mtu anayechongesha funguo za TVS, nimepoteza mmoja nikabaki na mmoja
Uende na Loss report ya hiyo funguo ya kwanza.Isije ikawa bajaji siyo ya kwako unataka kuipiga.Ili baadaye bajaji ikipotea tujue tunaanzia wapi upeleleziHabari,
Kwa Arusha ni wapi nnaezakupata mtu anayechongesha funguo za TVS, nimepoteza mmoja nikabaki na mmoja
io mzee bishara ya bajaji inaendaje huko chuga mkuu ??Habari,
Kwa Arusha ni wapi nnaezakupata mtu anayechongesha funguo za TVS, nimepoteza mmoja nikabaki na mmoja