Queen Horse
JF-Expert Member
- Sep 12, 2013
- 414
- 316
Nenda mlimani dispensary chuo kikuu UDSM kuna daktari mzuri wa watoto anaitwa dr Chacha.. mi mwenyewe mwanangu alisumbuliwa kama hivyo nikazunguka hospital kama mbili hiv namshukuru mungu kwa mkono wa dr huyo alipona after 4days tu.. maana nilikuwa nakesha kumuangalia jinsi anavyopata tabu ya kupumua na kukoroma..