falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
Wakuu habari!!
Jioni hii nina swali dogo tu naomba kujibiwa ipasavyo.
Kuna baadhi ya Watanzania wachache wamekuwa wakilalamika kuwa Marekani ni wanyonyaji wa rasilimali zetu Tanzania.
Naomba kufahamishwa ni wapi America imeinyonya Tanzania.
Je, kati ya Tanzania na USA ni nchi gani inaomba uwepo wa mwenzake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jioni hii nina swali dogo tu naomba kujibiwa ipasavyo.
Kuna baadhi ya Watanzania wachache wamekuwa wakilalamika kuwa Marekani ni wanyonyaji wa rasilimali zetu Tanzania.
Naomba kufahamishwa ni wapi America imeinyonya Tanzania.
Je, kati ya Tanzania na USA ni nchi gani inaomba uwepo wa mwenzake?
Sent using Jamii Forums mobile app