Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,523
- 16,575
Mmmh kwamba amekimbia nchi kabisa ?Nadhani marekani, nimesahau state.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh kwamba amekimbia nchi kabisa ?Nadhani marekani, nimesahau state.
Ndio(kiigizo) kila wakimtaja wanazungumza kana kwamba yupo abroad marekani anakula maisha.Mmmh kwamba amekimbia nchi kabisa ?
Tupo wengi.Samahani hivi hapa mnaangalia ile inayorushwa ITV?
Ila wapo nyuma sana ,wanonyesha ya last year!
Mi mdau wa isidingo,lakini naangalia kwa u-tube hii ambayo ni current
Unaandikaje mkuu kuipata u-tubeTupo wengi.
Karibu.shukran mkuu
Unaandikaje mkuu kuipata u-tube
I hope ushenzi wake utakuja kuonekana baadae.
I hope ushenzi wake utakuja kuonekana baadae.
Hii Tamthilia ni sawa na Umri wanguMna moyo kweli, tamthiliya tangu kama sikosei 1995/6 iko tu na nyie manayo tu?