Callme Sally
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 210
- 198
Na huo ndo mpango mkubwa tunaoutaka kakaangalia isije ikafika mpaka kwa wajukuu zako haijaisha
Na huo ndo mpango mkubwa tunaoutaka kakaangalia isije ikafika mpaka kwa wajukuu zako haijaisha
Kaangalie Sultan mkuu....Hii tamthilia yenu itaisha lini.yaani tangu nipo mdogo mpaka leo.bado ipo.mimi imenishinda kuangalia
Nenda hata kwa jirani mkuuSina ITV mkuu,Kwa sasa ni Uwanja wa atug huu,akiamua atatufikisha mbali sana.
Nenda hata kwa jirani mkuu
Just a joke .
UnawezaNina anazidi kumwekea madawa Nikiwe na kujifanya a good friend a shoulder to cry on. Kat na Benjamin wanapanga kumsaidia Nikiwe wanakwenda ofisini kujaribu kuongea nae but anawakufuza na kumtuhumu Benjamin ndo amedrug.
Lerato anazidi kupaa juu na salon yake hadi anaanza kumsahau mumewe/kusahau majukumu yake katika ndoa. Yeye anawaza kuwa juu zaidi katika biashara ya Saloon na kapata mwaliko mwingine Atlanta.
Nyumbani kwa kina Anja baba yake aliwaambia amemwalika mtu kwaajili ya dinner,Anja akamwambia auntie yake ajirembe hawezi jua,Anja akamsaidia saloon kutengenezwa akawa wa tofauti kidogo,nyumbani jioni imefika muda wa dinner mlango unagongwa kufunguliwa ni Gabriel Anja na auntie yake wakawa puzzled and disappointed
Summary ya leo.. Siko vzr sanaa katika kuhadithia kama Numbisa but I have tried my best
Ukianza kum diss Mondi utakutana na mkono wa DolaHahahahah,Kwa jirani ntaishia kumdiss mondi
Get some serious dwagNikiwe anaendelea kusikiliza cm ya Rose(Mtumishi wa ndani wa Nikiwe aliyekua anamuwekea sumu ili awe anaweweseka kusudi Franki) iliyopigwa na Nina akimwambia asimtaje.
Nikiwe anampigia cm koth na kumwambia sio Ben aliyekua anamuwekea madawa ball ni Nina, ila anaenda kumkomesha. Koth anachanganyikiwa na akimwambia Rajesh anamuwah Nikiwe asijefanya kitu cha kipuuuzi.
Ben anakutana na Anja, the rec na wanapeana date. Nikiwe anaenda ofisini kwa Nina na kumwambia ukweli Nina anadata anachukua pisto anataka kumuua Nikiwe, wanaaanza kugombea pisto, gafla inamshoot Kgoth aliyekuaanaingia mlangoni.
Hivi Nikiwe alienda wapi baada ya lile tukio ?Kat kalazwa hospitalini akiendelea kupewa matibabu baada ya ile gun shoot,Rajesh akiwa nje ya chumba cha Kat anaonana na daktari na kumuuliza chance ya Kat kupata ujauzito daktari anamjibu upo japo kwa uhakika zaidi warun some tastes na Rajesh anamjulisha afanye vipimo hivyo,daktari anamwambia vipi wameshakubaliana na Kat Rajesh anajibu kisanii kuwa ni mpango wao kupata mtoto. Baadae Nina anaingia alipolazwa Kat na Kat anamwambia atoke hataki kumwona maana alitaka kumuua,Nina anamwambia Nikiwe ndo alimshut,Kat ankatalia and Nina anamwambia Rajesh alikuja kwake na kumlaumu kuwa alimshot Kat. Rajesh baada ya muda anaingia alikolazwa Kat na kuanza kuongea nae,Kat anamlau kwann alienda kwa Nina Rajesh anajitetea hapo,Kat anamlau tena kwann amemwambia daktari amfanyie kipimo cha MRI behind her back? Rajesh anajitetea na Kat anamlaumu kuwa Rajesh yeye anajali swala la kupata tuu mtoto.. Rajesh anajitetea kuwa hakuwa na maana mbaya bali anaona kuna umuhimu wa kuendeleza generation yake maana umri unaenda but Kat hamuelewi ma kumwambia atoke chumba alicholazwa.
Anja still anaobsess na Ben,anataka kumtumia text anasita,wakakutana na kuongea Anja akamkumbatia Ben
Sifahamu dear maana sijaiangalia kipindi hichoHivi Nikiwe alienda wapi baada ya lile tukio ?
Nadhani marekani, nimesahau state.Hivi Nikiwe alienda wapi baada ya lile tukio ?
Sawa dearSifahamu dear maana sijaiangalia kipindi hicho