Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 267,476
- 1,091,054
Sina episode za mbele so na mute kutoa updates humu
Kwanza nimefurahi sana sibiya alivyohamisha familia yake
Maana km alijua mtego utakuwa juu ya familia yake
HapanaFamilia itakuwa imetekwa na Benjamin nahisi
Exactly, wasingehama wangekamatwa ...Hapana
Sibiya alikuwa anaongea na mkewe waondoke pale walipokuwa kuna sehemu ipo salama
Mkewe alikuwa anabisha mwishowe akakubali kuondoka
Ndio imekuwa nafuu
Ndio maana watu wa nina wamewakosa
Yeah.....Dah humu ndani nimeukubali uwepo wa Numbisa kaondoka yy na Uzi wake
unanitesa jaman,tangu umeacha kupost hapa nami nimekwamia hapa maskiniAbeeee
unanitesa jaman,tangu umeacha kupost hapa nami nimekwamia hapa maskini
unanitesa jaman,tangu umeacha kupost hapa nami nimekwamia hapa maskini