real t
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 334
- 237
tanesco hawakawii kuharibuNaisuribia jioni utadhani kama nimeingiza hela asubuhi, tanesco ***** mkikata umeme leo jioni nawaroga hahahaaa...!!
tanesco hawakawii kuharibuNaisuribia jioni utadhani kama nimeingiza hela asubuhi, tanesco ***** mkikata umeme leo jioni nawaroga hahahaaa...!!
jaribu ya saa nne mkuu..Daah hii tamthilia nataman sana kuijua na kuioenda ila nashindwa
Mambo vipNan ana stress
Punguza kuyumba ndugu
Fresh nambieMambo vip
Nadhani hii ishu ya gabby baby ni mpango wa bra linc.
Ndio nina atasema yote hadi zama zama na kusema linc kamtuma amwambie hivyo.(ni lile deal la linc kumlinda nina)
Natamani nikufate chemba nijue nikiwe amechukuliaje hii ishu ahahaha!!!..
So woti?Hii siyo tamthilia, ni series..ni maisha ya kufikirika ya Horizon Deep..mm nilianza kuiona mwanzoni mwa 1998 baada ya Egoli..kuaitisha mkataba na Itv..
No Charlie
No Zukisa
No Kamo
No Tyson
No Obza
No bra George
No Calvin
No Angie
No the rec
Mzee link ndio hv mara moja moja
Aphiwe Na Skhu naona wako mbioni nao kurest
At least Majola na mr Eddie wameludi asee lkn Bado inantia sana uvivu kuicheki dkk kdg kwa rajesh kdg kwa rajesh, Nikiwe na Gab daaa at least Numbisa Unanfanya nii flash flash juu kwa juu ili kuendana nayo nl Siku mbl hizi ambazo watu wamepmxika bora wangemludisha jody Na @Ma_Nkadimeng!
Ila bado Nikiwe atakua na Gabby baby kweli sikio LA kufa.Ndio nina atasema yote hadi zama zama na kusema linc kamtuma amwambie hivyo.(ni lile deal la linc kumlinda nina)
Ila bado Nikiwe atakua na Gabby baby kweli sikio LA kufa.
Wanakuja wengine,keshaingia mzungu wendy,anakuja mwingine kule mgodin kwa akina matlala mzungu hendrick na familia yake ya mke na mtoto mmoja. Anaingia aunt yake sechaba
Halafu @Obza Nlimuona Channel e kuna mchezo saa moja moja hivi shavu sio poa tena naona ule unaendelea sio kama Isidingo imetuacha mbaaalii