stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,887
- 4,467
Leo ndio namwona Rato bila lile wigi hapo kwenye picha yako
Leo ndio namwona Rato bila lile wigi hapo kwenye picha yako
Pastor sasa leo kweli nimegundua ana uchu na mali za Linc wala hampendi bintiye!Pastor jomoniiii
Pastor kanjanja yupo hapo
Familia ya matabane bado Ipo? Nauliza maana ni kitambo sana.Pastor sasa leo kweli nimegundua ana uchu na mali za Linc wala hampendi bintiye!
Mwenye namba ya Angie tafadhari
Nina hakufanikiwa kuona mwili.. So hatuna uhakika km kafaHivi ni kweli Oba kafariki au kafichwa tu?
Kuna wanawake anaweza kutembea na wanaume hata 100 lkn bado nawe ukamtaka. Ngwair (R.I.P) alisema, "sitojali katembea na wangapi, kuwa naye maishan naona bahati"
Unazid kunichekeshaKuna wanawake anaweza kutembea na wanaume hata 100 lkn bado nawe ukamtaka. Ngwair (R.I.P) alisema, "sitojali katembea na wangapi, kuwa naye maishan naona bahati"
Acha tu mkuuUnazid kunichekesha
Ni mzima.Huko online huyu Obakeng ni mzima au aliuwawa??
Halafu naona Ben is back
....Kuna dada mmoja utadhani ana kizizi, yaani alikuwa ana date wanaume watano kwa wakati mmoja na wote wanajijua. Siku moja nilishuhudia mwanaume mmoja yuko nje anamsubiria atoke (yuko ndani na mwingine anamkamua) ili aondoke naye, aisee yule dada kiboko...Kuna wanawake anaweza kutembea na wanaume hata 100 lkn bado nawe ukamtaka. Ngwair (R.I.P) alisema, "sitojali katembea na wangapi, kuwa naye maishan naona bahati"
....Kuna dada mmoja utadhani ana kizizi, yaani alikuwa ana date wanaume watano kwa wakati mmoja na wote wanajijua. Siku moja nilishuhudia mwanaume mmoja yuko nje anamsubiria atoke (yuko ndani na mwingine anamkamua) ili aondoke naye, aisee yule dada kiboko...
Mkuu acha tu. Usiombe kupenda....Kuna dada mmoja utadhani ana kizizi, yaani alikuwa ana date wanaume watano kwa wakati mmoja na wote wanajijua. Siku moja nilishuhudia mwanaume mmoja yuko nje anamsubiria atoke (yuko ndani na mwingine anamkamua) ili aondoke naye, aisee yule dada kiboko...
Real life au stori?....Kuna dada mmoja utadhani ana kizizi, yaani alikuwa ana date wanaume watano kwa wakati mmoja na wote wanajijua. Siku moja nilishuhudia mwanaume mmoja yuko nje anamsubiria atoke (yuko ndani na mwingine anamkamua) ili aondoke naye, aisee yule dada kiboko...
PleaseTuesday
Angie anaenda penthouse na kumwambia nikiwe kuwa anajitoa kumsimamia linc kama mwanasheria wake na kwamba hatua iliyobakia kwenye kesi itamaliziwa na msaidiz wake,nikiwe anasema sawa.ila uncle wa linc anamshangaa angie kwa kumtelekeza linc hatua za mwisho akiwa hospital,nikiwe anamwambia uncle asimbembeleze angie maana haitasaidia
Papa g yupo sebuleni,nina anatandika godoro hapo na kuweka mishumaa,papa g anauliza kwann,nina anasema anaomboleza msiba wa mwanae,papa g anasema hawana uhakika kama obakeng amefarik,nina anasema alienda Tanzania na hakumpata mwanae na kwamba atalala hapo hapo ambapo oba alikua anapenda kukaa na kula
Nikiwe akiwa ofisin,gabr anamwambia kuhusu cctv camera na masuala ya ulinz nikiwe anaitikia huku akiwa busy,gabr anauliza ubusy huo nikiwe anasema anaanda ripoti ya kuujulisha umma kuhusu ugonjwa wa linc na kwamba skhu atahusika na suala hilo,gabr hakubaliani anataka apewe yeye hio kazi,nikiwe anakataa mara anaingia ben,nikiwe anafurah wanasalimiana kwa kukumbatiana na story tele,gabr wivu unamjaa. Ben anamwona gabr humo ofisin na kuhitaji utambulisho,nikiwe anamtambulisha gabr kama kiongozi wa walinz hapo SG kisha nikiwe anamtambulisha ben kama rafiki. Gabr anajiwah na kumwambia nikiwe kwan ben haitaji habari nzuri kuhusu wao kisha anajikurupusha na kumfata nikiwe na kunyoosha kidole cha pete akimringishia ben,nikiwe hafurahii kitendo hicho,ben anawapongeza
Tyson kalala chini chumban mwao,mkewe anamwambia kwann kalala chini si angetafuta chumba kingine tyson anasema ili rajesh ajione mshind na kumcheka,kgotha anamshangaa tyson kukasirikia past yake wakat yeye hajamind sana mahisano ya tyson na angie. Huku akimwambia asitafute sababu ya kukimbilia kwa angie
Zukisa anaenda wodin kwa linc akiwa na wamama wa kanisani,linc anauliza akina nai hao,zukisa anawatambulisha,linc anamwambia awaondoe hapo hawataki,zukisa anawaondoa wamama hao,linc anamwambia zukisa kuwa jana alimwona katlego hapo na kumwomba amuondoe hospitalin hapo maana katlego atamuua.zukisa anabaki kushangaa
Kamo anaamka na kwemda sebulen akiwa tayr kwa kwenda kazin,sebulen anawakuta aphiwe na lerato,aphiwe anamwambia kamo wawahi ofisin,lerato anamtaka kamo awe makin asiwape hofu,kamo anasema kagundua obakeng ni baba mtoto wake tu na sio vingine,aphiwe anamkata jicho hilo,lerato anamwambia kamo kamuandalia msosi abebe atakula kazin,kamo anasema atakula cha kazin,ila lerato anamshawish abebe hicho,kamo anakubali,mara aphiwe na kamo wanapokea sms na kushangaa kisha wanaondoka haraka na kusahau msosi wa lerato
Zukisa anaenda kwa matlala,wanasalimiana vizuri tu na matlala anamtaka zukisa aiwe busy sana kumsahau na kumwambia jion watoke out wakale dinner,ila zukisa anasema ana maombi kanisani,matlala anasema ataenda na hataleta usumbufu,zukisa anakubali
Tyson anaingia ofisin kwa barker,barker anamuuliza kama alipata chumba tyson anasema alihairisha,barker anamwambia kuhusu linc tyson analalamika linc kutafuta visababu vya ugonjwa,barker anasema linc sio lengo lao kwa wakati huo bali nikiwe maana wakimdondosha nikiwe watakua wamemaliza kazi tyson anasema nikiwe nae yupo kwenye kisasi chake kwa kuficha mauaji ya katlego. Hivyo wanapanga kumporomosha nikiwe
Nikiwe yupo na ben maeneo ya SG wakiongelea safari za ben na jins alivyoenjoy,mara gabr anatokea kwenye lift na kushangaa ben bado yupo,maongez ya nikiwe na ben yaanharibiwa na gabr,ben anaamua kuaga na kuondoka
Kamo na aphiwe wanaingia sebulen kwa papa g na kushangaa hali wanayokutana nayo,nina analia na kuomboleza,papa g anasema afadhali wamekuja,nina anasema obakeng kafariki,aphiwe anauliza kama ameuona mwili,papa g anasema hata yeye kauliza swali hilo,nina anasema hajaona mwili ila obakeng kachomwa na kupelekwa pasipojulikana na kwamba manusura pekee ni calvin. Nina anasema anahitaji kufanya misa maalum kwa ajili ya obakeng
Zukisa anawaita nikiwe na uncle penthouse,na kuwaambua kuhusu linc kucha ganyikiwa na kusema kamuona katlego. Uncle anamshukuru zukisa kwa kuwapa taarifa
Sechaba anarudi home na kumkuta lerato busy akihesabu pesa,sechaba anamuuliza lerato kama alimpa somo kamo aache kuwapa hofu,larato anasema ndio,sechaba anasema ana njaa ,lerato anamwambia atampikia akimaliza kupanga hesabu za pesa,sechaba anakaa kwenye kochi na kutazama tv,mara lerato anapokea sms na kupigwa butwaa akitaja obakeng
Nikiwe yupo na gabr penthouse,gabr anamshawish nikiwe waende hosp wakahakikishe kama kweli zjkisa anaongea ukweli ili nikiwe achukue maamuzi ya mwisho alitonayo linc katika SG.nikiwe anasita na kusema haiwezekan ,gabr anamyusha je tyson na barker wakiitumia nafasi hio kumharibia zaidi.nikiwe anaikiria
Uncle wa sizwe yupo kanisani na wababa na wamama wa kanisa akiwashawish waongee na zukisa arudiane na sizwe mara zukisa anaingia na kumshangaa uncle kwa akifanyacho,mara simu inaita ni matlala akitaka kumfata zukisa kanisani hapo,zukisa anamtaka amsubirie nje ila matlaal anamwambia anamfata,zukisa anamwambia uncle aache usumbufu na kwamba alishaachana ana sizwe zaman kisha anaondoka humo
....The woman was my neighborReal life au stori?
Ametisha....The woman was my neighbor
...Mbaya, and she was so cute, namba 8 ya kufa mtuAmetisha