GeJo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 1,716
- 12,646
Duh jana nilipitwa, Jody ni pasua kichwaThursday
Angie anaenda duncan hotel rum kwa baba hake na kumkuta bado anamalizia bata la usingizi,angie anamtaka baba yake aende kumtembelea dannie,baba mtu wala hajali na hana feelings za huruma kwa mjukuu wake bali anamwona kama mtu baki wa kumtumia kupata faida kwenye biashara zake. Angie anamlaum sana baba yake kwa ubinafsi na kumjulisha muda wa kwwnda kumwona dannie kituoni
Barker yupo na bodi yake ya uongozi akiwapa maelekezo ya kutovujisha taarifa yoyote ya kibiashara kwa Tatiana (mke wa tsyson)ili kutompa nafas ya kuacha kuinvest kwenye kampun ya barker
Selo,dannie yupo counter ya wafungwa kusubiria wagen wao kakaa muda mrefu akimsubiria babu yake mpaka askar wa kike akaamua kumtoa kinguvu na kumrudisha selo bila kujali utetez wa dannie
Gabriel akiwa rum kwake busy kutengeneza tai mara simu inaita ila anaikata,na mlango ukagongwa kisha bahasha kupenyezwa,kufungua mlango hamna mtu hivyo anaamua kuichukua bahasha na kukuta kuna pesa na ujumbe wa kutimiziwa ahadi kwa kazi aliyoifanya(shaft8) jamaa anafurah
Kamo na aphiwe wapo duncan counter,kamo kapendeza mpaka aphiwe anamuuliza kilichompendezesha hivyo maana hachelew kuiba boyfriend wa rafiki yake ila kamo anamwambia yupo hapo kwa ajili ya mtoto wa barker,aphiwe anauliza kama ni brad ila kamo anasema real son sio brad na kumtka aphiwe awe na subira maana amemtumia sms kijana muda si mrefu mara jody anatokea kamo anamtaka waungane hapo ila kijana anasema haiwezekan maana kuna rafiki zake juu rum hivyo anawapa ofa ya kwenda room,kamo anakubali na kusema wanamalizia vinywaji wataenda huko rum. Aphiwe anamsunta kamo na kutaka kuondoka maana anaona jody bado mtoto,ila kamo anamlazimisha waende rum kuenjoi
Lincoln anamtembelea tyson pale Duncan rum na kumuuliza ninu hasa anakitaka ila tyson anamjibu kifupi na kumtaka linc atulie maana hawez mwambia kinachofuata kwa mtu aliyemuua dada yake
Zukisa anamwambia lerato inabidi warudishe pesa walizookota maana matlala anasumbuka kwa kosa lisilo lake,lerato hakubalian na ushaur na kumtaka zukisa kama anajitoa ajitoe yeye ila lerato yupo tayr kuendelea na biashara alone.
Calvin anamtembelea selo dannie,polis wa kike anamleta dannie dirishan kwa mikiki mikiki,calvin anauliza kulikon,dannie anamwambia polisi wamechukia sababu ya ile press,calvin anamjulisha jins press ilivyosaidia na hash tag ilivyopokelewa vizuri,dannie anamuuliza calvn sababu ya babu yake kutotokea,calvin anajibu labda alikua busy,wanachit chat na kucheka
Zukisa na lerato wapo the rec wakimsubiria matlala,lerato anawasi wasi na kutaka kuondoka ila zukisa anamzuia,matlala anatokea na kuuliza walichomuitia,zukisa anamwambia alisikia maongez yake na gabriel hivyo anataka kumsaidia(zukisa kidogo aropoke kuwa wao ndo waliiookota pesa ila lerato anamkatisha)matlala anamtaka zukisa akae mbali na msala huo maana gabr ni hatar zaid wamjuavyo hasa kwenye masuala ya pesa,lerato anampa ofa matlala ya mkopo wwnye riba nafuu ili amlipe gabriel,matlala mwanzon anagoma kuwa na mpango wa kumlipa gabriel ila lerato anamkumbusha maneno yake kuwa gabr ni hatar kwenye pesa,jamaa anabak anafikiria
Rajesh anaingia ofisin kwa barker hasira tele na kumkuta brad,anamuulizia barker na kuambiwa yupo kwenye kikao na tatiana,rajesh analalamika kuhusu matumizi makali ya jody,kijana katumia oda ya karibu 60k za south,brad anashangaa.kijana kaagiza kwa ajili yake na rafiki zake wine za ukweli,misosi ya maana na pia kawalazimisha wahudum wampe chumba matawi juu. Rajesh anamtaka brad amwambie barker amcontrol kijana wake maana kijana kavuka mipaka.brad anatabasam(nadhan anakumbukia enzi zake kabla ya kusoteshwa uhudumu wa bar)
Lerato akiwa salun na zukisa analalamika kamo na aphiwe hawajaonekana salun siku hio ila zukisa anamtaka asimshirikishe kwenye masuala ya saluni na kuanza kumalaum lerato kwa kitendo cha kumwambia matlala kuhusu kumkopesha pesa badala ya kumrudishia pesa zake. Ila lerato anamwambia kurudisha ni impossible mission
Angie anaenda duncan na kumkuta baba yek counter akinywa na kimwana. Angie anakereka na kumsemea mbovu baba yake kisha anamtaka afungashe waende kuish wote. Baba mtu anakumbushia angie alipie bill ya hapo
Rum kwa jody,aphiwe na kamo wanaenjoy wine wakiwa wamekaa kitandan,aphiwe nawasi wasi kuhusu salon ila kamo anamtaka wainjoy kwanza,rum full music wadada na wakaka wanakunywa na kucheza humo kiongozi wao jody
Brad yupo mapokez akiulizia zaid kuhusu bill ya jody mara barker anatokea na furaha zake akimwambia brad hawana cha kuhofia kuhusu tatiana keshasawazisha mambo. Brad anamuuliza Barker kama keshaonana na rajesh ila bark anajibu hawajaonana wala kuongea
Brad anamwambia barker kuhusu matumuzi makali ya jody siku hio na kwamba rajesh amekasirika. Barker anashangaa na kuuliza hayo matumizi katumiaje,brad anajibu na marafiki wapo rum,barker anakereka sana.(brad anatabasam)
Rum duncan barker anaingia na brad,rafiki wa jody wote wanasepa.huku barker ana hasira ila kama kawaida Bradley anatabasamu