Callme Sally
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 210
- 198
Yaaan mpk nawashangaa ukiuliza unaaambiwa angalia kwny app sasa humu tupo kwa ajili ganiTATIZO LA WATU WENGINE HUKU
yaani mtu kudownload app ya ITV basi mmekengeuka. badala ya kutoa update mnatuambia tukaangalie kwa app.
mbona mna laana ya BASHITE nyie! kuna umuhimu gani tukajua unatumia ki tecno kako ka mtumba ku angalia ITV app.
yaani mijitu mingine sijui ina akili za mbuni. maana mbuni ana jicho kubwa kuliko akili. kazi kusifia eti mmedaulodi itv kiganjani mbona msiseme mmedaulodi porno.
embu kuweni binadamu sio kila kitu upunda na ubashite. ninajua tunaingia humu(baadhi) kwa smart phone. embu zitumieni vizuri sio mturingishie.
wengine tulianza kutumia hizo smart phone aata kabla wengine hamjawahi kumiliki.
mpunguze mchecheto kama umeona papuchii. muku mpunguze najua mnatumia smart phne. msiniletee ukasuku eti download itv app.
humu ni kwa ajili ya update za isidingo sio update ya kudaulodi itv app. wengine tuna smart tv sijui na sis tuseme mnunue. kitu kinatumia wi fi mfyuuuu
elimikeni hamkununua izo tecno mjifunze ujinga( FaizaFoxy writting)
cc kitakako muuma atajaza