Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 264,232
- 1,075,711
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman hivi Isidingo, NAYO ni ya kulumbania!?? Au kutoana povu!?? Kama na we we unapenda kuhadithia, adithia tuuu au mpeane zamu, mbona mi sijaona kigum hapo!?? Tatizo wabongo kila kitu mnaona in siasaaa hadi MNABOA.
Kama hujui kitu uliza povu lote la nn hamna anaegombania kutoa update hapa, mkurupuko on fleek.
Asante Numbisa na pole kwa kuandamwa. Mpuuzie tu maana mwenyewe keshaomba poo. Gabriel baada ya kukataliwa out na Nikiwe,anaambiwa cheki yake iko tayari hivyo aichukue kwa secretary.(kumbuka sg wanadhamini kampeini ya zama zama.) Gabi anasema secretary hayupo kwani alimwambia anaenda kwenye kikao cha bodi. Niki anashangaa. Hivyo Gabriel ndie aliemshitua Niki kuhusu kikao cha bodi. Baada ya Niki kuonana na Linc na kukwaruzana kuhusu kuitishwa kwa kikao cha bodi bila kuhusishwa,Niki anaonekana kukasirika. Na nahisi atatoboa siri kuhusu baba yake kumuua Kat.(hii ni hisia yangu tu). Ni hayo tu kwa nyongeza.
Uliona eeh!Shukran mkuu upo vizuri. Nilicheka pale gabriel anataka mkumbatia nikiwe bidada akampausha
Hayakuhusu!!! Punguza kiherehereAsante Numbisa na pole kwa kuandamwa. Mpuuzie tu maana mwenyewe keshaomba poo. Gabriel baada ya kukataliwa out na Nikiwe,anaambiwa cheki yake iko tayari hivyo aichukue kwa secretary.(kumbuka sg wanadhamini kampeini ya zama zama.) Gabi anasema secretary hayupo kwani alimwambia anaenda kwenye kikao cha bodi. Niki anashangaa. Hivyo Gabriel ndie aliemshitua Niki kuhusu kikao cha bodi. Baada ya Niki kuonana na Linc na kukwaruzana kuhusu kuitishwa kwa kikao cha bodi bila kuhusishwa,Niki anaonekana kukasirika. Na nahisi atatoboa siri kuhusu baba yake kumuua Kat.(hii ni hisia yangu tu). Ni hayo tu kwa nyongeza.
Uliona eeh!
Hayakuhusu!!! Punguza kiherehere
Sina bifu na we we sema nlkua namchana laivu tuuHahaha kumbe bado una ka bifu aisee
Sina bifu na we we sema nlkua namchana laivu tuu
Nlvo sema sorry nlimaanisha case closed
Usisahau kutupia updates za Leo au VP
Update za leo vp mdau?Haha wala am fine. Ila huyo uliyemjibu ana update nzuri kweli natamani siku moja aandike yote itakua poa sana
Thanks kwa updates
Update za leo vp mdau?