jem_the_great
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 289
- 158
note 5 hatari sana
Yes..Kunakipindi nilitumia note 5..haki ni tamu.. Bt i lost it and nimejikuta nimerudi simu ya kawaida haha life bwana si fair at all.Note 5 ni nzuri sana. Ila screen yake inakula sana charge.
Charge haiwezi kudumu zaidi ya 8hrs hata kama matumizi yako ni kiduchuu.
Ila zina screen resolution nzuri sana.
Sent using [Iphone XS Max]
Ni product za wap hizo SamsungBila kuwa potezea muda.
Tuna Samsung Note5 (64 na 128 GB) pia Samsung S8 na S8+ za kutosha
S8->64GB -500,000
S8->128GB -510,000
S8+->64GB -530,000
S8+->128GB -540,000
Note5 64GB -280,000
Note5 128GB -300,000
Note: Hizi zote ni original samsung phone na unapewa waranty ya miezi 6 ikizingua unarudisha.
Mawasiliano: +255 628 210393 (whatsapp)
Karibuni sana.
View attachment 1383548View attachment 1383549View attachment 1383549
Samsung napenda sana kuutumia ila product zake zinanichanganya mara product ya Korea mara ya Vietnam mara ya China Mara made by Samsung ipi product gud kwa experience yako? Msaada pleaseMkuu jibu ni rahisi sana unatakiwa utofautishe original, fake, used, brand new au refurbished. Hizi za kwetu ni original used. Sasa box kwenye simu used inatoka wapi. Ila ukitaka box unapewa. Watu wengi ndo wanauziwaga mbuzi kwenye gunia. Wengi wanaochukua simu za jumla hutafutia box na kuwapeni kama mpya.
Akijibu nitag mkuuNi product za wap hizo Samsung
Poa poa mkuuAkijibu nitag mkuu
Note edge or Note 4 unzip mkuuBila kuwa potezea muda.
Tuna Samsung Note5 (64 na 128 GB) pia Samsung S8 na S8+ za kutosha
S8->64GB -500,000
S8->128GB -510,000
S8+->64GB -530,000
S8+->128GB -540,000
Note5 64GB -280,000
Note5 128GB -300,000
Note: Hizi zote ni original samsung phone na unapewa waranty ya miezi 6 ikizingua unarudisha.
Mawasiliano: +255 628 210393 (whatsapp)
Karibuni sana.
View attachment 1383548View attachment 1383549View attachment 1383549
Jamaa kaingia mitinijamani huyu jamaa mbona number yake haipatikani,wala haipo whatsapp ni muuzaji kweli??