Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei yake si unafungua biashara unalipa frem nkKweli vyuma vimekaza sioni aliyeuliza bei au wamekufuata piemu ?
Mimi nawakubali LV naishia kuzingoja mtumbani YSL/Givenchy wana bei sana?View attachment 1225383
Bei mbovu ni Gucci, Mulberry, Louis Vuitton lakini Michael Kors ana nafuu kidogo
Umeona eeeh wanaziuza bei balaa.Mtumbani sikuhizi wale madalali wanayajua majina. Back in 2000 nilikuta Burberry Mwenge hakuna aliyekuwa na time nalo.
Mchina ameleta Hermes Kelly material ya crocodile ..nimechoka aisee.Ngoja mchina alete toleo la tatu
..
Kweli vyuma vimekaza sioni aliyeuliza bei au wamekufuata piemu ?
Mchina ameleta Hermes Kelly material ya crocodile ..nimechoka aisee.
Ipo dearSijaidaka hii
Kariakoo ipo?
Kwenye mtumba kitu new napata kwa buku 7 matumizi yake harufu ya mtumba tu naenda fua milioni moja seriously? Hiyo hela si bei ya kupauwa nyumba kabisa acha utani naniiMilioni moja tu mkuu
Bei yake sasa kha
Natafuta mtu China anitafutie fake close to original payless hahahahhh
Soon mzigo utakuwa sokoni..nitaunganisha kwenye ule Uzi mpendwaYale mafuta yetu ya ndevu vipi?