Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Mimi nitachagua Volvo, kwa sababu BMW ninalo tayari.Wakati mwengine muulizaji anakua mjuzi zaidi kuliko muulizwaji.
Kwa faida ya wengi naomba mimi nikuulize hilo swali.
Wewe unachagua ipi na kwa nini?
Volvo linatumiamafuta vizuri zaidi, lina nafasi kubwa zaidi, lakini katika uendeshaji, BMW linafeel vizuri zaidi (sporty).
Natafuta kati ya Volvo XC90, Porsche Macan or Benz GLS.
Maisha mafupi,tunaotumiamuda mwingi barabaraninibora tujipendeleekwa mikokoya maana.