Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kuna kati ya wapenzi wa jukwa hili ameenda kupima VVU??leo ni 1,Dec,2010 siku ya ukimwi Duniani Mimi nipo hapa nanenane morogoro nacheki ngoma!!je wewe??ainkiller:
Je kuna kati ya wapenzi wa jukwa hili ameenda kupima VVU??leo ni 1,Dec,2010 siku ya ukimwi Duniani Mimi nipo hapa nanenane morogoro nacheki ngoma!!je wewe??ainkiller:
Kumbe umeenda kuangalia ngoma tu? mi niko hapa mnazi mmoja kuna ngonjera, maigizo , sarakasi, kwaya na ngoma mbalimbali za asili
Toeni status zenu siyo mnatwambia mmepima wakati hamtwambii nini mlichopima!!twambia wamekukuta vipi??
KK huko uendako sasa naona ni kubaya ujue status za kila mtu ili iweje tafadhali Mkuu taratibu?!!!
yeah... nimeendaToeni status zenu siyo mnatwambia mmepima wakati hamtwambii nini mlichopima!!twambia wamekukuta vipi??
Sasa moyo uko mbio ukisumiria majibu eeeeeeee? I wish you a -ve result.....!nimepima Kakakiiza kama dkk 25 zilizopita
nahamasisha na wenzangu kupima afya zao
It is not necessarily to display the results here in JF, but it will be better to share the results with your husband/wife/BF/GF, and then let him/her say to the JF whether he/she knows your status....!Toeni status zenu siyo mnatwambia mmepima wakati hamtwambii nini mlichopima!!twambia wamekukuta vipi??
Uko na mwenzio au umemwacha nyumbani? Usije ukaenda kupima kisirisiri....Je kuna kati ya wapenzi wa jukwa hili ameenda kupima VVU??leo ni 1,Dec,2010 siku ya ukimwi Duniani Mimi nipo hapa nanenane morogoro nacheki ngoma!!je wewe??ainkiller:
Shikamoo da da Dena Amsi............ mimi thijambo kidogo, naumwa thana kiuno........... ngoja nkapime thijui nitakuta nini ila thithemi thtatath yangu thitaki ugomvi na mtu
Na mimi nitaenda kucheck muda si mrefu.
KK umeongea jambo zuri sana kupima VVU/UKIMWI ni muhimu sana aisee