Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
Wanaosema Mr Bean ni zaidi ya Chaplin nadhani hawajabahatika kuwafuatilia hao watu vizuri. Mr Bean kamuiga Charlie vitu vingi.
ni kweli kabisa kupambanisha cheless chlie champline na wandawazimu wengine watafute vitu vya kulinganisha au kufananisha na mtu huyuuNi dharau sana kumfananisha charlie Chaplin na hao wengine, yule mzee was super talented
thanksMr bean ashindane na ringo
beacoan ashindane na kingwendu
ila champlin hayupo wa kufanana nae
kuna mambo alikua anafanya ambayo sio wakat wake yaan alikua anafanya vitu vya mwaka 2040 na kuendelea tena mpaka sisi wa leo hii atuwez kuigiza au atakufikilia tuCharlie Chaplin moto wa sayari ya nne ule
Jamaa yule kichwa sanakuna mambo alikua anafanya ambayo sio wakat wake yaan alikua anafanya vitu vya mwaka 2040 na kuendelea tena mpaka sisi wa leo hii atuwez kuigiza au atakufikilia tu
Keaton yupo vizuri.unamjua buster keaton mfatilie kwanza
NakaziaKeaton ni hatar sana, japo weng wao hawamfahamu sawasawa