Wapenzi na mashabiki wa Magufuli wameanza kuisoma namba

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,539
12,654
Huyu MTU kipindi cha kampeni alikuwa mpenzi sana wa Magufuli!

Dunia Imebadilika Sana Sana Ikilinganishwa Na Miaka Kumi Ishirini Iliyopita. Kuanzia Mfumo Wa Maisha Hadi Mfumo Mazingira. Kwa Hali Ya Sasa, Huwezi Kulazimisha Watu Waishi Maisha Kama Ya Miaka Ya Sabini Na Themanini Ya Kulima Mashamba Ya Ujamaa Na Kujitegemea Na Maduka Ya Ujamaa. Sana Sana Unaweza Kuwalazimisha Watu Waende Kwenye Mfumo Mwingine Mpya Na Sio Kuwarudisha Kwenye Uliopita.

Huwezi Kuzuia Watu Wasiwasiliane Kwa Njia Yoyote Ya Mawasiliano Wakati Dunia Yote Inawasiliana. Utakuwa Unajitenga Na Dunia Hii Unaanzisha Nyingine Ya Kwako. Watu Wameongezeka Mno Kazi Zimepungua, Unapotaka Kila Mtu Awe Na Kazi Ya Uhakika, Ni Kulazimisha Kubadili Mfumo, Ni Sawa Na Kulazimisha Maji Kupanda Mlima, Badala Ya Maji Kufuata Mkondo.

Mfumo Wa Maisha Hufuata Mkondo, Sawa Na Maji, Kinyume Chake Ni Kuwatesa Watu. Haya Ni Maoni Yangu Tuu.
 
maisha yanabadilika binadamu unatakiwa ubadilike nayo
 
Uchaguzi ukifanyika leo, kuna % kubwa ya watu waliompatia kura baba J wasimpe tena. Ni kawaida. Ila 2020 watampa tena. Ndivyo tulivyo waTZ wengi.
 
Waliozoea maisha ya wizi serikalini ndio wanaisoma no maana hawakuwa wanafanya kazi ila mtu akiingia tu 50m huyooo anarudi nyumbani na gari la Serikali anaenda nalo shambani kwake kubebea mbolea na ikiharibika kwa kazi zake bado itatengenezwa kwa pesa ya serikali na bado ataiba pesa za spea.
 
Waliozoea maisha ya wizi serikalini ndio wanaisoma no maana hawakuwa wanafanya kazi ila mtu akiingia tu 50m huyooo anarudi nyumbani na gari la Serikali anaenda nalo shambani kwake kubebea mbolea na ikiharibika kwa kazi zake bado itatengenezwa kwa pesa ya serikali na bado ataiba pesa za spea.
Ni kweli kabisa walizoea vya bure. Na walikuwa wanaonekana ndio wanaojua kupanga. Safari zisizo na tija. Mh. Magufuli unafanya kazi kuwabwa. La kurrekebisa ni hii kuondoa watu wenye uzoefu katika posts lifanyie kazi!
 
Waliozoea maisha ya wizi serikalini ndio wanaisoma no maana hawakuwa wanafanya kazi ila mtu akiingia tu 50m huyooo anarudi nyumbani na gari la Serikali anaenda nalo shambani kwake kubebea mbolea na ikiharibika kwa kazi zake bado itatengenezwa kwa pesa ya serikali na bado ataiba pesa za spea.
Hivi ni wao tu ndio wanatumia sukari...kwa mfano? Samahani kwa kuuliza swali la zamani
 
Back
Top Bottom