Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
- Thread starter
- #21
I know, ni ngumu sana. Nimebaki kuwish tu, l wish tungekuwa waaminifu, l wish.... I wish...
Kutendwa kama alivyofanyiwa huyo dada (yaani wanawake wa nje 2 halafu ni peku peku) bora mmama wa watu alivyojua. Na l think, alikuwa anatafuta proof tu. Sidhani kama things zinaenda vizuri angeenda that far!
Kwa upande mwingine, wanasema ukitafuta kosa utalipata kwani ni kama unatumia lens kukagua kama meza imefutwa vizuri. Kama things ziko okay (kwenye relationship) ni vizuri kutochunguza sana!
Njia anayoitumia gfsowin if l got her right, ni badala ya kutafuta mabaya anaconcentrate kwenye mazuri na with the right altitude unaweza mfanya mwenza kuacha/kupunguza mabaya na kuongeza mazuri kwani anakuwa rewarded kwa yale mazuri na sio reprimanded kwa mabaya!
Kazi mnayo, msio na the like of my Eiyer!
Kaunga!
Umenishibisha na hazina ya wise uliyoshusha hapa "unaona mbali"
Last edited by a moderator: