MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Imekuwa ni kawaida kwa chama husika harakati za kisiasa kuelekeza kanda moja. Hii hali inakera sana, kila siku mikutano ya CDM ni AR town, au Moshi tu kwa nini? Nyie wanachama na wafuasi mtokao nje ya AR na Moshi kwa nini mnamuogopa mwenyekiti, mpeni ukweli kuwa UKANDA haufai.
Takwimu zililopo ni kuwa tangia Uchaguzi Mkuu 2010, kanda ya kaskani imefanywa mikutano 30, kusini 1, kusini nyanda za juu 2, magharibi 1, ziwa 4, mashariki 3, kati 2.
Waulizeni viongozi wenu kwa nini hawataki kuimarisha chama nje ya kaskazini AMA TUAMINI MANENO YA NASARI KUWA CHAMA CHA KIKANDA??
Takwimu zililopo ni kuwa tangia Uchaguzi Mkuu 2010, kanda ya kaskani imefanywa mikutano 30, kusini 1, kusini nyanda za juu 2, magharibi 1, ziwa 4, mashariki 3, kati 2.
Waulizeni viongozi wenu kwa nini hawataki kuimarisha chama nje ya kaskazini AMA TUAMINI MANENO YA NASARI KUWA CHAMA CHA KIKANDA??