Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
Mwakilishi wa viti Maalumu CCM Asha Bakari Makame amependekeza kwa kamati ya kuratibu maoni ya katiba kwamba umri wa rais inafaa uongezwe ili kiongozi atumie busara katika kuongoza nchi.
Amesema mgombea urais kuwa chini ya miaka 40 inamaanisha atapatikana rais wa watoto. Aliyasema hayo juzi tume hiyo ilipokutana na Baraza la Wawakilishi.