Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,648
- 12,251
Wadau MMU habari zenu.?
Nimeona leo nije na ofa hii ya trip kwani ni nzuri sana kwa wapendanao/marafiki nk kwani ni safari inayochukua muda mwingi mlimani, siku 7 kwa hiyo ni taratibu,huku mkipeana "chakula cha usiku njiani" hususani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka,wengine wakifikiria ni wapi waende kula Krismas.
Napenda kutangaza kuwa kutakuwa na safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia tarehe 22 Desemba hadi 28 Desemba 2013,kupitia njia ya Machame (siku 7) hivyo kwa mtu yeyote atakayependa kupanda mlima huo na kula sikukuu ya Krismas juu ya mlima,tunaomba awasiliane nasi kwa maelezo zaidi.Gharama ni laki 3 na nusu za kitanzania (Ikijumlisha viingilio,chakula,guides,porters nk) Tumebakiwa na nafasi chache sana.Mawasiliano 0787140432.
Nimeona leo nije na ofa hii ya trip kwani ni nzuri sana kwa wapendanao/marafiki nk kwani ni safari inayochukua muda mwingi mlimani, siku 7 kwa hiyo ni taratibu,huku mkipeana "chakula cha usiku njiani" hususani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka,wengine wakifikiria ni wapi waende kula Krismas.
Napenda kutangaza kuwa kutakuwa na safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia tarehe 22 Desemba hadi 28 Desemba 2013,kupitia njia ya Machame (siku 7) hivyo kwa mtu yeyote atakayependa kupanda mlima huo na kula sikukuu ya Krismas juu ya mlima,tunaomba awasiliane nasi kwa maelezo zaidi.Gharama ni laki 3 na nusu za kitanzania (Ikijumlisha viingilio,chakula,guides,porters nk) Tumebakiwa na nafasi chache sana.Mawasiliano 0787140432.