wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 983
Salaam wana JF.
Muelekeo wa kisiasa Zanzibar sasa unaelekea kugeuka. Pamoja na kwamba Maalim Seif bado anapendwa na kuheshimiwa na Wazanzibari walio wengi, wengi wa Wazanzibari wanaona kwamba Maalim Seif kwa hulka yake ya 'kujawa na uislamu' kunarejesha nyuma, kunachelewesha au kuzorotesha harakati za kuingo'a CCM.
Muelekeo wa kisiasa Zanzibar sasa unaelekea kugeuka. Pamoja na kwamba Maalim Seif bado anapendwa na kuheshimiwa na Wazanzibari walio wengi, wengi wa Wazanzibari wanaona kwamba Maalim Seif kwa hulka yake ya 'kujawa na uislamu' kunarejesha nyuma, kunachelewesha au kuzorotesha harakati za kuingo'a CCM.