Wapemba na kuvunja muungano

Status
Not open for further replies.

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Watanzania, sio jambo jema la kulishabikia, kundi la uamsho huko Zanzibar linalo hubiri hadharani kuwa Muungano uvunjike!!!! Inawezekana tukasema tuwapuuze, lakini we have to think twice!! It is shocking kuwa wanapokuwa wanahubiri wakiuliza "nani anapenda muungano uendelee, uwanja wote unakuwa kimya, wakisema nani anataka Muungano uvunjike, majority wanaamsha mkono!!! Hawa sio wa kupuuza kama tunataka muungano uendelee kuwapo. Serikali inalifumbia macho kundi hili haramu. Tafakari, chukua hatua!!!
 
wanaka muungano uvunjike ili wajinge na Mombasa Republican ili wafurahie biashara ya mirungi maana Tz yetu hiyo ni bidhaa haramu.
 
wapemba wote tutawafukuza kama kunguru toka bara...sijui watafanya biashara wapi,..na tutawataka waondoke na kiswahili chao cha mdebwedo..
 
Sioni kama ni halali kuliita hili kundi haramu. Ukweli ni kwamba kundi hili linawakilisha mawazo ya wazanzibar wote isipokuwa Shein na wale walio karibu naye serikalini. Kuliko kuwawekea watu mipaka ya kuujadili, ni bora muafaka wa muungano ukatafutwa mapema kabla haujatuletea majanga katika nchi.
 
Kikundi hicho kina mkono wa nje, kama wale wa Somalia, Boko Haram, Hezbollah, Alqueda na Taliban, ofisi zao ziko hadi Iran, ndoto yao kuunda Jamhuri ya Kiislamu ya Zanzibar, kuondoa harufu ya Umagharibi na Utalii. Serikali ya Amani Karume ndio ilaumiwe, na pia uoga wa Serikali ya Muungano.
 
Tutapiga hesabu kama wanandoa, tunagawana mali kulingana na ulichochuma wakati tukiwa pamoja. Baada ya hapo kila mtu na la kwake.
 
Nyerere ilitumia nguvu za Watanganyika kumtimua Sultani, akampa Mhamiaji wa Uganda John Okello na Wamakonde, Watanga na Wasukuma kazi ya kumpindua Mungu wa Wazenji, baada ya mapundizi akampeleka mwanasiasa nae mhamiaji mwenye asili ya Malawi aitwae Abeid Amani Karume na kapewa eti ni yeye aliyepindua, alikuwa akila kuku kwa Nyerere akisubiri ajira, akapewa miezi 3 tu baada ya kuajiriwa na Mwalimu kama kiongozi wa visiwa vyetu, kisha kasaina kuungana na Mainland, kosa la Nyerere ndio hili la kwanini asingekomboa na kufanya Mkoa tu? Angalia kwa roho yake nzuri ya kuwapa heshima japo wao wa leo wanamtukana Mwalimu kwa pesa toka Iran, enzi hawakuwa banadamu eti walikuwa mali ya Sultani.
 
Sioni kama ni halali kuliita hili kundi haramu. Ukweli ni kwamba kundi hili linawakilisha mawazo ya wazanzibar wote isipokuwa Shein na wale walio karibu naye serikalini. Kuliko kuwawekea watu mipaka ya kuujadili, ni bora muafaka wa muungano ukatafutwa mapema kabla haujatuletea majanga katika nchi.

Ni kundi haramu kwa sababu linavunja katiba ya nchi. Kujadili mapungufu ya Muungano hakuna ubaya, ila kuvunja Muungano ni uhaini because it is against the constitution! There are ways to air your dissatisfaction on every opinion, not by breaking laws of the country!! If everybody was to behave like UAMSHO, what will be the destination of this nation!!!
 
Watanzania, sio jambo jema la kulishabikia, kundi la uamsho huko Zanzibar linalo hubiri hadharani kuwa Muungano uvunjike!!!! Inawezekana tukasema tuwapuuze, lakini we have to think twice!! It is shocking kuwa wanapokuwa wanahubiri wakiuliza "nani anapenda muungano uendelee, uwanja wote unakuwa kimya, wakisema nani anataka Muungano uvunjike, majority wanaamsha mkono!!! Hawa sio wa kupuuza kama tunataka muungano uendelee kuwapo. Serikali inalifumbia macho kundi hili haramu. Tafakari, chukua hatua!!!

Unaongea kutoka wapi? Nadhani Tanganyika watu wake hawauhitaji muungano kama wazenji na nakuapia, ukivunjika tu Pemba and Unguja in war of Independence! Waache wachezee shillingi kwenye tundu la choo.
 
Nyerere ilitumia nguvu za Watanganyika kumtimua Sultani, akampa Mhamiaji wa Uganda John Okello na Wamakonde, Watanga na Wasukuma kazi ya kumpindua Mungu wa Wazenji, baada ya mapundizi akampeleka mwanasiasa nae mhamiaji mwenye asili ya Malawi aitwae Abeid Amani Karume na kapewa eti ni yeye aliyepindua, alikuwa akila kuku kwa Nyerere akisubiri ajira, akapewa miezi 3 tu baada ya kuajiriwa na Mwalimu kama kiongozi wa visiwa vyetu, kisha kasaina kuungana na Mainland, kosa la Nyerere ndio hili la kwanini asingekomboa na kufanya Mkoa tu? Angalia kwa roho yake nzuri ya kuwapa heshima japo wao wa leo wanamtukana Mwalimu kwa pesa toka Iran, enzi hawakuwa banadamu eti walikuwa mali ya Sultani.

Uko sahihi kabisa. Kuna tofauti gani kati ya Mafia na Zanzibar in geographical location? If Mafia is part of Tanganyika, why not Zanzibar. Had it not been for the partition by the Germans, clearly today, Zanzibar and Tanganyika would be a single nation of whatever name!!!
 
ni vizuri kuichimba historia ya Zanzibar ma muungano kwa makini kwa sababu wadau ni wengi na taarifa lazima zitatofautiana.Nawaapia badu unaweza kupata PhD ukiamua kutafiti mambo ya Muungano.Kwa kuwa upo muungano kwa miaka 48 sasa nafikiri tunahitaji majibu ya kisomi na kisayansi ya mambo makubwa manne:
1.Je sababu za kuungana mwaka 1964 zina mashiko yoyote kwa pande zote leo mwaka 2012?
2. Je tunahitaji Muungano tena? baada ya kupata jibu la swali la kwanza
3. Kama tunauhitaji je ni wa serikali tatu,moja,ama mfumo wetu wa mikoa tuubadili uwe wa majimbo yenye mamlaka sheria na mipango maendeleo na yote yawe na serikali badala ya mikoa hii inayotuzingua na serikali ya shirikisho kama Marekani?
4.Kama kura ya maoni ikionesha Wazanzibari wengi say asilimia 90 hawautaki Muungano na wakati huo huo asilimia 90 ya watu wa iliyokuwa Tanganyika wakuonesha kuutaka tutafanya nini na hawa watu asilimia10 walioko Zanzibar kwa mfano?
Tuone basi tunalijadili dude gumu kuliko suala la ndiyo/siyo
 
Kosa kubwa ni kukataza kujadili muungano katika katiba mpya,kama Muungano ni mzuri kwa nini tuhofie kuujadili?duniani kote Muungano haulazimishawi ni makubaliano,tukubaliene ili uwe Muungano wenye tija kwa wote
 
Ni kundi haramu kwa sababu linavunja katiba ya nchi. Kujadili mapungufu ya Muungano hakuna ubaya, ila kuvunja Muungano ni uhaini because it is against the constitution! There are ways to air your dissatisfaction on every opinion, not by breaking laws of the country!! If everybody was to behave like UAMSHO, what will be the destination of this nation!!!


Kama ni kundi haramu eti kwa kujadili Muungano, je Slaa naye ni haini kwa kukataa kuutambua muungano kwa kuwa hajawahi kuiona hati ya Muungano?? Waacheni wa Zb waamue hatima yao. Watanganyika hamna haki ya kuwaamulia Wazenj wanachotaka. Halafu kuna mmoja hapa JF anasema eti kundi la Uamsho linamtukana Nyerere kwa pesa za Iran! Nani kamwambia kuwa hao jamaa wanapewa pesa Iran? Anaweza kutuletea ushahidi? Kwa taarifa yako hao jamaa na Mashia wa Iran ni kama nguruwe na muislam.
 
Kama ni kundi haramu eti kwa kujadili Muungano, je Slaa naye ni haini kwa kukataa kuutambua muungano kwa kuwa hajawahi kuiona hati ya Muungano?? Waacheni wa Zb waamue hatima yao. Watanganyika hamna haki ya kuwaamulia Wazenj wanachotaka. Halafu kuna mmoja hapa JF anasema eti kundi la Uamsho linamtukana Nyerere kwa pesa za Iran! Nani kamwambia kuwa hao jamaa wanapewa pesa Iran? Anaweza kutuletea ushahidi? Kwa taarifa yako hao jamaa na Mashia wa Iran ni kama nguruwe na muislam.

uhusiano wa nguruwe na waislam ni upi? Mi naona udau hapo
 
Kosa kubwa ni kukataza kujadili muungano katika katiba mpya,kama Muungano ni mzuri kwa nini tuhofie kuujadili?duniani kote Muungano haulazimishawi ni makubaliano,tukubaliene ili uwe Muungano wenye tija kwa wote

Marekani walilazimisha wakachukua New Mexico. Ila nyie chukueni ardhi yenu
 
Nawaunga mkono wa znz 100% kuvunja muungano feki ambao hata sisi watanganyika hakuna mwenye shida nao'ila angalizo tu msije kuvunja halafu mkang'ang'ania bara mrudi kwenu tu tuachieni nchi yetu na ukafiri wetu'
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom