Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,386
- 79,594
Point unayo lakina labda ungebadili neno. Udhalilishaji haupo hapoNi kudhalilishwa sana iwapo upimaji unafanyika kwa ubaguzi wa makundi ya watu na pasipo na ulazima.
Si udhalilishwaji tu bali ni upotevu wa rasilimali za taifa na kupoteza nguvu ambazo zingetumika kuzalisha pahala pengine.
Wanaotumia meli hiyo ya Bakhresa wanasema zamani wale wanaokaa mjini walikuwa wanafika majumbani mwao takriban robo saa tu tangu meli itie nanga ,lakini sasa hivi ni usiku mwingi ndipo wanapofika.