NDIYO. Tumekuwa kimya muda mrefu tukiangalia chokochoko za Msuya na Kisumo. hawakuanza leo wala juzi wameanza tangu waonje madaraka serikalini. KKKT mmepeleka miradi yote Mwanga na kutuacha Same na makao makuu tu. shule za Shighatini,Usangi Girls,Mruma, Shule ya Viziwi, zote ziko Mwanga, na Same ambayo ina eneo kubwa imepewa shule moja tu ya Manka. Askofu Koda wa Katoliki naye analeta michezo ya kupendelea Mwanga ambapo amejenga shule za Kindoroko, na Kilomeni, wakati hakuna shule yoyote ile Same/South Pare.
wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.
MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.
wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.
MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.