Wapare wa Same tunadai dayosisi KKKT

bangusule

JF-Expert Member
Feb 9, 2008
291
190
NDIYO. Tumekuwa kimya muda mrefu tukiangalia chokochoko za Msuya na Kisumo. hawakuanza leo wala juzi wameanza tangu waonje madaraka serikalini. KKKT mmepeleka miradi yote Mwanga na kutuacha Same na makao makuu tu. shule za Shighatini,Usangi Girls,Mruma, Shule ya Viziwi, zote ziko Mwanga, na Same ambayo ina eneo kubwa imepewa shule moja tu ya Manka. Askofu Koda wa Katoliki naye analeta michezo ya kupendelea Mwanga ambapo amejenga shule za Kindoroko, na Kilomeni, wakati hakuna shule yoyote ile Same/South Pare.

wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.

MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.
 
Pipiiiiiiiiiiii!!!!. Na wananchi wa Ludewa nao watadai Meli, teh tehte tititiiiiiii. Chanzo cha yote ni kuletwa kwa Thread ya Msuya hapo juu.
 
sasa kama huku upareni msuya anatunyanyapaa kwanini huko mjina tuendelee kuhusishwa naye? lete ushahidi unaopingana na hayo niliyoyaeleza kuhusu msuya na kkkt.
 
Kazi imeanza sasa angalieni msitoanekafara tu.....wana pare mjiunge kwa faida ya vizazi vyenu vijavyo na taifa kwa ujumla acheni mimi wa same mimi mgweno haifai jamani mbona sisi huku mijini tukiwaona tunajua wote wa pare inatosha....acheni dhambi ya ubaguzi
 
Nimekumbuka hii ya KKKT ni baada ya kuona picha ya Askofu Mkuu mteule wa
dayosisi kuu ya mwanga Mh. Chediel Sendoro;

Natamani kujua kama Same walishapewa dayosisi.
 
NDIYO. Tumekuwa kimya muda mrefu tukiangalia chokochoko za Msuya na Kisumo. hawakuanza leo wala juzi wameanza tangu waonje madaraka serikalini. KKKT mmepeleka miradi yote Mwanga na kutuacha Same na makao makuu tu. shule za Shighatini,Usangi Girls,Mruma, Shule ya Viziwi, zote ziko Mwanga, na Same ambayo ina eneo kubwa imepewa shule moja tu ya Manka. Askofu Koda wa Katoliki naye analeta michezo ya kupendelea Mwanga ambapo amejenga shule za Kindoroko, na Kilomeni, wakati hakuna shule yoyote ile Same/South Pare.

wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.

MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.
Mhh! "Wapare ndiyo wachina wa Tanzania"
 
Nimekumbuka hii ya KKKT ni baada ya kuona picha ya Askofu Mkuu mteule wa
dayosisi kuu ya mwanga Mh. Chediel Sendoro;

Natamani kujua kama Same walishapewa dayosisi.

Mamndenyi dayosisi iliyokuwepo ni ya same ila na naamini mgogoro mkubwa hapa ulikuwa mwanga nayo ipewe dayosisi ambayo huyo Sendoro ndo kachaguliwa kuwa Askofu mpya wa Dayosisi ya Mwanga
 
NDIYO. Tumekuwa kimya muda mrefu tukiangalia chokochoko za Msuya na Kisumo. hawakuanza leo wala juzi wameanza tangu waonje madaraka serikalini. KKKT mmepeleka miradi yote Mwanga na kutuacha Same na makao makuu tu. shule za Shighatini,Usangi Girls,Mruma, Shule ya Viziwi, zote ziko Mwanga, na Same ambayo ina eneo kubwa imepewa shule moja tu ya Manka. Askofu Koda wa Katoliki naye analeta michezo ya kupendelea Mwanga ambapo amejenga shule za Kindoroko, na Kilomeni, wakati hakuna shule yoyote ile Same/South Pare.

wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.

MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.
MARA NYINGI WATU WA MILIMANI WANAKUWA WAJANJA KULIKO WA TAMBARARE SIKU ZOTE MLIKUWA WAPI NDO MNAZINDUKA SASA
 
NDIYO. Tumekuwa kimya muda mrefu tukiangalia chokochoko za Msuya na Kisumo. hawakuanza leo wala juzi wameanza tangu waonje madaraka serikalini. KKKT mmepeleka miradi yote Mwanga na kutuacha Same na makao makuu tu. shule za Shighatini,Usangi Girls,Mruma, Shule ya Viziwi, zote ziko Mwanga, na Same ambayo ina eneo kubwa imepewa shule moja tu ya Manka. Askofu Koda wa Katoliki naye analeta michezo ya kupendelea Mwanga ambapo amejenga shule za Kindoroko, na Kilomeni, wakati hakuna shule yoyote ile Same/South Pare.

wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.

MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.

Sikatai kama unadai Dayosisi, lakini nafikiri jitahidi sana kudai Mungu aingie katika maisha yako, umpende na kumtafuta kwa bidii, Ukristo sio chokochoko au kutafuta vitu vinavyoonekana, bali kutafuta ufalme na mamlaka ambayo inatoka juu. Hakuna sababu yeyote kuwa na Dayosisi ambayo huwenda haina kibali mbele za Mungu, hakuna maana kama hao wanaodai Dayosisi ni chukizo kwa Mungu, hizi kazi za Mungu huratibiwa na kusimamishwa na Mungu mwenyewe, watu wengi kwa kujaribu kumsaidia Mungu wamejikuta wakiingia kwenye laana wao na vizazi vyao, Utukufu wa Mungu haupatikani kwa nguvu zetu au zako, bali kwa kuomba, kufunga na kujishusha machoni pa Bwana. Hizi chokochoko za kudai Dayosisi KKKT, huratibiwa na watu wasio mpenda Mungu wala kupenda wenzao, husukumwa na roho chafu, ubinafsi na kupenda madaraka. Watu badala ya kumtafuta Mungu kwa bidii wanatafuta Dayosisi kana kwamba hiyo ndiyo suluhu ya maisha yao. Nafikiri uongozi wa KKKT ukubali ushauri tunaotoa kila mara kuwa hizi chokochoko nyingi zinazojitokeza chanzo ni Katiba ya KKKT, hii katiba hebu ibadilike, KKKT iwe kitu kimoja, haya mambo ya Dayosisi yaangaliwe upya, mfumo huu ulifaa kwa wakati ule wa kujenga Kanisa kwa sasa mambo na watu ni tofauti. Mtoa hoja naona anahesabu huduma zilizoko mwanga heee! jamani Mungu atusaidie sana maana roho hizi ni zahatari sana, Hivi watu wa same wameanzisha shule KKKT ikakataa?
 
Sikatai kama unadai Dayosisi, lakini nafikiri jitahidi sana kudai Mungu aingie katika maisha yako, umpende na kumtafuta kwa bidii, Ukristo sio chokochoko au kutafuta vitu vinavyoonekana, bali kutafuta ufalme na mamlaka ambayo inatoka juu. Hakuna sababu yeyote kuwa na Dayosisi ambayo huwenda haina kibali mbele za Mungu, hakuna maana kama hao wanaodai Dayosisi ni chukizo kwa Mungu, hizi kazi za Mungu huratibiwa na kusimamishwa na Mungu mwenyewe, watu wengi kwa kujaribu kumsaidia Mungu wamejikuta wakiingia kwenye laana wao na vizazi vyao, Utukufu wa Mungu haupatikani kwa nguvu zetu au zako, bali kwa kuomba, kufunga na kujishusha machoni pa Bwana. Hizi chokochoko za kudai Dayosisi KKKT, huratibiwa na watu wasio mpenda Mungu wala kupenda wenzao, husukumwa na roho chafu, ubinafsi na kupenda madaraka. Watu badala ya kumtafuta Mungu kwa bidii wanatafuta Dayosisi kana kwamba hiyo ndiyo suluhu ya maisha yao. Nafikiri uongozi wa KKKT ukubali ushauri tunaotoa kila mara kuwa hizi chokochoko nyingi zinazojitokeza chanzo ni Katiba ya KKKT, hii katiba hebu ibadilike, KKKT iwe kitu kimoja, haya mambo ya Dayosisi yaangaliwe upya, mfumo huu ulifaa kwa wakati ule wa kujenga Kanisa kwa sasa mambo na watu ni tofauti. Mtoa hoja naona anahesabu huduma zilizoko mwanga heee! jamani Mungu atusaidie sana maana roho hizi ni zahatari sana, Hivi watu wa same wameanzisha shule KKKT ikakataa?
Kwa mtazamo wangu ni ngumu KKKT kuwa one
 
Nimekumbuka hii ya KKKT ni baada ya kuona picha ya Askofu Mkuu mteule wa
dayosisi kuu ya mwanga Mh. Chediel Sendoro;

Natamani kujua kama Same walishapewa dayosisi.
Naona Chidiel anaenda huko,..Waliomchagua wanajua,sisi tuseme nini....Anyways. Mungu amuongoze akatende haki huko...Nafunga Mdomo wangu...
 
Sasa kama mtoa mada issue yake ni kudai dayosisi ya same na wakati dayosisi ya mwanga tayari imesharidhiwa kuanzishwa na tayari askofu wake keshachaguliwa na kilichobaki ni kuzinduliwa tu rasmi na kusimikwa kwa uongozi wa dayosisi, na dayosisi ya upare ilikuwa ni ya wilaya mbili tu same na mwanga.., tatizo liko wapi?? Mwanga si inaondoka na automatically mnabaki na dayosisi yenu ambayo ni eneo lote la same....?
 
NDIYO. Tumekuwa kimya muda mrefu tukiangalia chokochoko za Msuya na Kisumo. hawakuanza leo wala juzi wameanza tangu waonje madaraka serikalini. KKKT mmepeleka miradi yote Mwanga na kutuacha Same na makao makuu tu. shule za Shighatini,Usangi Girls,Mruma, Shule ya Viziwi, zote ziko Mwanga, na Same ambayo ina eneo kubwa imepewa shule moja tu ya Manka. Askofu Koda wa Katoliki naye analeta michezo ya kupendelea Mwanga ambapo amejenga shule za Kindoroko, na Kilomeni, wakati hakuna shule yoyote ile Same/South Pare.

wananchi wa Same na Pare Kusini wako tayari tuchangia kwa nguvu zao ujenzi wa shule hizo. tatizo ni hawa viongozi toka Mwanga ambao wanafanya makusudi kuhodhi miradi na kupeleka kwao.

MWALIMU NYERERE ALISEMA "WAPARE NDIYO WACHINA WA TANZANIA". aliposema hivyo alikuwa akipongeza juhudi za Wapare wa Same katika kazi za kujitolea MSARAGAMBO.KKKT tupeni Dayosisi yetu na Askofu wetu wana Same. Viongozi toka Mwanga wanatuhujumu na kutudumaza kimaendeleo.
Achana na haya ya kidunia mtafute Mungu kwa bidii kwakuwa mwisho wa siku hukumu itakuwa juu yako
 
Back
Top Bottom