Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Nimepamiss sana kwetu-moshi,lakin tatzo ni wapangaji wetu ndio wanaofanya nisiwe na mzuka wa kurudi kwetu,chumba changu ninachokitumia kule home kiko uani na kimepakana na vingne vya wapangaji,sasa tatzo ni kwamba,kuna mbaba mmoja ambae kiumri ni sawa na mzee wangu,ameoa kabinti kadogo dogo,yani wao usiku kucha ni kutiana tu,afu huyo binti anapgaga kelele hadi cku moja watu wakatoka nje wakidhani labda anataka kufa,sa me najckiaga aibu sana,hasa pale ninapokutanisha uso wangu na wao...!!nimeona niendelee tu kukaa huku mjini kuepuka fedheha.