Yani kuhangaika kote Huku ni kwasababu ya 1000 tu kwa mwezi?
Tunalalamika mno vitu vya kipuuzi ndio maana tukiwa na malalamiko ya msingi serikali haiyatilii maanani maana imetuzoea ni wapayukaji hovyo.
Huyo mpangaji atakayegombana na mwenye nyumba kwasababu ya 1000 atakuwa juha
Hiyo 1,000 moja, vat kwenye umeme, ewura. Kuna ya tozo za miamala, kuna parking, kuna mafuta ya gari, kuna maongezeko lukuki na yatokanayo na maongezeko ya mafuta, kuna mafuta ya kupikia, sukari, ada, into Shirikishi, kuna Corona biashara hamna, ukiugua utalipa, paye, nk.
Ni uzwazwa uliopitiliza kudhani hii ni 1,000 tu kwa mwezi.
Kwani wanaopeana takrima za majumba na magari walipoaminishwa siyo sisi?
Vipi mapato yao wanalipa kodi?