Ninja
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 348
- 535
Wapangaji nyumba Dar kwa kuhama hama.
Wakuu heshima kwa wingi kwenu. Jamani naomba mtazame mfano wa jamaa huyu kwa jina la mpangaji nyumba Dar es Salaam ambaye anawakilisha wengi wa wapangaji nyumba walioko jijini, hasa wafanyakazi. Mpangaji huyu ana familia yenye mwenzi na watoto.
2000 tandale chumba kimoja, 2001 temeke chumba na sebule choo cha kushea, 2002 sinza chumba na sebule self contained miezi sita, halafu miezi sita mingine Mwananyamala upande, 2003 mabibo upande miezi sita halafu miezi sita mingine changanyikeni chumba na sebule, 2004 tabata vyumba viwili na sebule, 2005 magomeni nyumba nzima, 2006 mbagala kizuiani amehamia kwake lakini hajapaua, 2007 mbagala kumemshinda kapangisha na yeye kaenda kupanga kimara upande, 2008 mbezi beach nyumba nzima anapangiwa na shirika mambo mazuri, 2009 kahamia kwake boko, 2010 Boko kumemshinda kapangisha nyumba yake na yeye karudi sinza na familia yake kupanga kwenye vyumba viwili na sebule self. Loh.
Hivi huu mzunguko ni vipi na mwisho wake ni nini.
Wakuu heshima kwa wingi kwenu. Jamani naomba mtazame mfano wa jamaa huyu kwa jina la mpangaji nyumba Dar es Salaam ambaye anawakilisha wengi wa wapangaji nyumba walioko jijini, hasa wafanyakazi. Mpangaji huyu ana familia yenye mwenzi na watoto.
2000 tandale chumba kimoja, 2001 temeke chumba na sebule choo cha kushea, 2002 sinza chumba na sebule self contained miezi sita, halafu miezi sita mingine Mwananyamala upande, 2003 mabibo upande miezi sita halafu miezi sita mingine changanyikeni chumba na sebule, 2004 tabata vyumba viwili na sebule, 2005 magomeni nyumba nzima, 2006 mbagala kizuiani amehamia kwake lakini hajapaua, 2007 mbagala kumemshinda kapangisha na yeye kaenda kupanga kimara upande, 2008 mbezi beach nyumba nzima anapangiwa na shirika mambo mazuri, 2009 kahamia kwake boko, 2010 Boko kumemshinda kapangisha nyumba yake na yeye karudi sinza na familia yake kupanga kwenye vyumba viwili na sebule self. Loh.
Hivi huu mzunguko ni vipi na mwisho wake ni nini.