Ugonjwa na ajali havibagui. Kaburi halibagui. Tusibaguane kwa ajili ya majanga yasiyobagua

Nina case za watu, tena wengine walikuwa maadui wa Serikali na walikuwa ktk critical conditions, lakini haeakudharau taratibu za matibabu ya umma. Kuna Ulimboka aling'olewa kucha meno, aliminywa makende alipofikishwa Muhimbili madaktari wali declare apelekwe India. Kuna Kubenea hata hatukutegemea angekuwa na macho baada ya kumwagiwa Tindikali. Kuna Mvungi na Kibanda wote walikuwa hali mbaya, Ethic za Muhimbili, wakasema hawezi case zao wakapaishwa India. Kwanini uatusemi ukweli kwa hili la Lissu? Ambalo Chadema kwa vinywa vya viongozi wao hawakuiamini Serikali? Hivi pale Dodoma waliporuhusu naibu Waziri (Serikali) kushika mikasi kunusuru maisha ya Lissu huo woga wao ulikuwa wapi?
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Ishu ya Lissu perpetrator ni serikali, haiwezi kujivua hapo.
Ushahidi wa kimazingira una ipin serikali kwenye kona.

Mbowe alifanya kitu sahihi kutoiamini serikali.

But hey Lissu will survive this, na usisahau kwa kifo wote ni wateja.
 
Tundu Lisu kataka kujitibu mwenyewe, yuko kimya wala hapayukipayuki kama akina Isanga family, Mwifwa, zumbemkuu, Bujibuji, Chakaza, nyabhingi, Goliath mfalamagoha, Josephat manyenye nk, Lisu yuko kimya anajua ninina wapi kakosea!
 
Nina case za watu, tena wengine walikuwa maadui wa Serikali na walikuwa ktk critical conditions, lakini haeakudharau taratibu za matibabu ya umma. Kuna Ulimboka aling'olewa kucha meno, aliminywa makende alipofikishwa Muhimbili madaktari wali declare apelekwe India. Kuna Kubenea hata hatukutegemea angekuwa na macho baada ya kumwagiwa Tindikali. Kuna Mvungi na Kibanda wote walikuwa hali mbaya, Ethic za Muhimbili, wakasema hawezi case zao wakapaishwa India. Kwanini uatusemi ukweli kwa hili la Lissu? Ambalo Chadema kwa vinywa vya viongozi wao hawakuiamini Serikali? Hivi pale Dodoma waliporuhusu naibu Waziri (Serikali) kushika mikasi kunusuru maisha ya Lissu huo woga wao ulikuwa wapi?
Soma tena maandushi ysko na rekebisha taarifa zisizo sahihi ili angalau ionekane uhalali wako wa utetezi. Kwa watu wanaojua uliyoyaandika wanakushangaa kama kweli unakijua unachokitetea
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Inasikitisha! Haya yanakuwa mazuri tu kuwa kama hayajakufika. Inashangaza unapomwomba Mungu na kuwataka wengine kutanguliza hofu ya Mungu wakati wewe huonyedhi hayo kwa matendo yako. Je Ukiristu wao ni tofauti na wa wengine?
 
Kwa hiyo hata sasa unashauri aendelee kukaa huko Belgium? Una uhakika gani kwamba akirudi atakuwa salama? Hicho kigenge cha kaskazini ndani ya kamati yenu ya siasa ya UFIPA hakikupenda Lissu aendelee kuvuma. Endeleeni kuuua watu wananchi watakuja kuwaumbua na mikakati yenu ya kihalifu inayoendelea kuratibiwa na kigenge cha kaskazini. Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Shame on you "north-based shitholes "
Ni kweli kwamba bado usalama wake hauna hakika akirudi.
Kuhusu kamati ya ufipa, hainihusu kwa kuwa mimi ni mwanaCCM, mwenye akili nzuri,mtanzania wa asili, mpenda haki, na nisiyeshabikia upumbavu kama zuzu unavyofanya wewe.
Ulivyo mjinga unataka kudhalilisha serikali kwamba watu wa kaskazini wanaizidi ujanja kwa kuweza kufanya chochote na kushindwa kubainika.
Mwisho kabisa hoja ya kubagua watanzania kwa siasa za kikabila na kikanda ni ushenzi na upumbavu uliojaa kichwani mwako unaotakiwa kuondolewa kwa kuelimishwa, vinginevyo mkiwa wengi taifa litaangamia.
 
Kwa hiyo hata sasa unashauri aendelee kukaa huko Belgium? Una uhakika gani kwamba akirudi atakuwa salama? Hicho kigenge cha kaskazini ndani ya kamati yenu ya siasa ya UFIPA hakikupenda Lissu aendelee kuvuma. Endeleeni kuuua watu wananchi watakuja kuwaumbua na mikakati yenu ya kihalifu inayoendelea kuratibiwa na kigenge cha kaskazini. Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Shame on you "north-based shitholes "
Hicho kigenge ndani ya ufipa kilikuwa na uwezo wa kung'oa camera za cctv sehemu ya tukio, waliweza kuwaondoa askari wote wanaolinda getini na kwenye nyumba za viongozi wa serikali wakati wa tukio, nimekuelewa. Common sense has never been common
 
Soma tena maandushi ysko na rekebisha taarifa zisizo sahihi ili angalau ionekane uhalali wako wa utetezi. Kwa watu wanaojua uliyoyaandika wanakushangaa kama kweli unakijua unachokitetea
Tumemuelewa Askofu wako. Hoja yake kuu, kuna mazingira jambo likitokea taratibu zisifuate Bali busara na imani ya kiroho. Tunamwambia ktk mfumo serikali hayo hayawezekani Ukifanya hivyo unatengeneza loophole ya watu kupiga pesa ya umma, ndio maana Serikalini kuna sheria, kanuni na adhabu. Anayekiuka anashtakiwa sio ukiuke ukiogopa kufa na kufufuka. Issue ya Lissu wenye mgonjwa walikataa taratibu za matibabu ya umma "full stop" Hayo ya ufufuo na uzima ni yenu wenye imani sio serikali. Ndio maana tunasema wako waliofuata taratibu hizo pamoja na kuwa ktk critical conditions, pamoja na kelele za wanaharakati, walitimiza matakwa ya sheria.
 
Penye wengi kuna mengi-acha watu wajitoe ufahamu na kutetea visivyo weza kutetewa. Mwili umepigwa marisasi, viungo vimeharibika na damu zinavuja ati "ufuate" utaratibu wa kusubiri kibali cha Ikulu etc. Kama Dodoma hakuwa salama sidhani kama Muhimbili angekuwa salama (viashiria vipo hakuna maendeleo yeyote katika uchunguzi wa polisi-nao mtasema wanafanya kazi kimya kimya?). Spika anatuelezea wabunge wanaojitibu wenyewe kwa maamuzi yao na kwa magonjwa ambayo mtu ana amua aende lini. Lisu hakuwa na maamuzi kwenye hili na asinge weza kuamua chochote kwa hali yake. Nafikiri Bunge liseme tu halita toa senti hata moja watu wajue. CDM kama hali ya pesa za matibabu si nzuri iteni michango kama mwanzo tutachanga kidogo kidogo. Nina hakika akirudi atadai stahiki zake. MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA bado anataka tuwe na TL hata kama waliotaka afe si haba. Atakapomhitaji mja wake atamchukua.
 
KIGONGO CHA BABA ASKOFU DR BAGONZA KUELEKEA KWA SPIKA WA BUNGE

Kweli common sense is not common. Ebu tufikiri pamoja:

-Wakristo tukihubiri na kuamini ufufuko, tunamaanisha haijalishi mtu alikufaje, lakini siku hiyo atafufuka.
Aliyeliwa na simba, aliyekufa na kuzikwa, aliyepotea asijulikane kazikwa wapi, na hata aliyeyeyuka na ndege iliyopotelea baharini; wote watafufuliwa.

-Mtu angedhani pamoja na kuwa hospitali zote zina taratibu za kupokea wagonjwa, lakini kuna wagonjwa wa dharula wasiopita njia ya kawaida ili wahudumiwe kuokoa maisha yao.

Hivi mbunge akiugulia safarini Dubai, analazimika kurudi DsM kupata vibali vyote aweze kutibiwa?

Bwana Yesu aliichangamotisha sheria ya torati pale alipotibu siku ya sabato na kusema sabato ni kwa ajili ya watu, si watu kwa ajili ya sabato. Hatuwezi kumwacha ng'ombe kisimani kwa sababu ya sabato.

Ugonjwa na ajali havibagui. Kaburi halibagui. Tusibaguane kwa ajili ya majanga yasiyobagua.
Si mlimtorosha mkijigamba mna uwezo wa kumuhudumia Kwa kila kitu,mkijidai mtatoa mpaka figo zenu, eti serikali itamuua, ona sasa mnaanza kulialia hovyo.

Kuna pesa kila mwezi inatoka ya ruzuku, Mbowe kaiatamia, mnaona noma kumwambia Ukweli aimege kidogo Kwa ajiri ya mgonjwa.
Pambaneni mgonjwa aache kulala sebuleni Kwa watu,
 
Ndio maana tunasema wako waliofuata taratibu hizo pamoja na kuwa ktk critical conditions, pamoja na kelele za wanaharakati, walitimiza matakwa ya sheria.
Mkuu tupe mfano wa aliye kuwa kwenye critical condition kama ya Lissu. Ulimboka kwa taarifa tu sio mfano mzuri alikuwa Dar hivyo kupelekwa Muhimbili hakikuwa kitu cha ajabu. Na hakuwa mhanga wa marisasi.
 
Tumemuelewa Askofu wako. Hoja yake kuu, kuna mazingira jambo likitokea taratibu zisifuate Bali busara na imani ya kiroho. Tunamwambia ktk mfumo serikali hayo hayawezekani Ukifanya hivyo unatengeneza loophole ya watu kupiga pesa ya umma, ndio maana Serikalini kuna sheria, kanuni na adhabu. Anayekiuka anashtakiwa sio ukiuke ukiogopa kufa na kufufuka. Issue ya Lissu wenye mgonjwa walikataa taratibu za matibabu ya umma "full stop" Hayo ya ufufuo na uzima ni yenu wenye imani sio serikali. Ndio maana tunasema wako waliofuata taratibu hizo pamoja na kuwa ktk critical conditions, pamoja na kelele za wanaharakati, walitimiza matakwa ya sheria.
Uzuri wa kuwa na sifa ya hofu ya Mungu (ambayo kila Mtanzania anaisema) ili uwe kiongozi wa watu ndani ya serikali ni hayo unayoyasema. Kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa. Na mtu mwenye hofu ya Mungu (Mkristu au Muislamu akiwemo) hufuata hayo bila ubaguzi au kuzitafasiri kwa jinsi zinavyompendeza yeye! Machoni mwa Mungu inakuwa na baraka.
 
Hicho kigenge ndani ya ufipa kilikuwa na uwezo wa kung'oa camera za cctv sehemu ya tukio, waliweza kuwaondoa askari wote wanaolinda getini na kwenye nyumba za viongozi wa serikali wakati wa tukio, nimekuelewa. Common sense has never been common
Hati kuna usalama na Muhimbili angetegemea kuwa salama zaidi. Kuna mtu alisema kuna sheria na busara sasa naona tumeishiwa busara na sheria tunazipinda. Kuna wakati walisema basi familia iombe ndo mambo yameishia huku.
 
Tunahitaji mtuambie ni kifungu gani cha kanuni cha huduma za bunge kinachoeleza kwamba mbunge ili akatibiwe nje ya nchi kinahitajika kibali kutoka kwa Raisi kama ambavyo huyo spika uchwara anavyozungumza????na kama ni ivo Lisu mwenyewe anawaambia kwamba uwanja wa ndege wa bunge mwisho kutua ndege ni saa 12 jion,sasa kama ni ivo mbona utaratibu haukufwatwa iliruhusiwa kutua saa 6 usiku kumchukua?!!
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Hongera kwa post Ndugai. Utu na busara na hekima ni zaidi ya utaratibu. Lakini mwisho wa siku wote tutakufa, tufuate taratibu au la. Uwe spika, rais, waziri na hata ombaomba barabarani. Utakufa tu. Ujipendekeze usijipendekeze, utaulamba tu udongo. So just move on....
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Yaani unaamini umeongea jambo la maana sana...!?
 
Mkuu tupe mfano wa aliye kuwa kwenye critical condition kama ya Lissu. Ulimboka kwa taarifa tu sio mfano mzuri alikuwa Dar hivyo kupelekwa Muhimbili hakikuwa kitu cha ajabu. Na hakuwa mhanga wa marisasi.
Nimetoa mfano wa watu zaidi ya wanne akiwamo Mvungi aliyepigwa risasi, wote walikuwa ktk critical condition walipelekwa India baada ya kuwa satabilized kwanza Muhimbili, na wote walikuwa na ugomvi na serikali hawakuogopa kudungwa sindano za kuzimishwa.
 
Back
Top Bottom