Ugonjwa na ajali havibagui. Kaburi halibagui. Tusibaguane kwa ajili ya majanga yasiyobagua

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,505
KIGONGO CHA BABA ASKOFU DR BAGONZA KUELEKEA KWA SPIKA WA BUNGE

Kweli common sense is not common. Ebu tufikiri pamoja:

-Wakristo tukihubiri na kuamini ufufuko, tunamaanisha haijalishi mtu alikufaje, lakini siku hiyo atafufuka.
Aliyeliwa na simba, aliyekufa na kuzikwa, aliyepotea asijulikane kazikwa wapi, na hata aliyeyeyuka na ndege iliyopotelea baharini; wote watafufuliwa.

-Mtu angedhani pamoja na kuwa hospitali zote zina taratibu za kupokea wagonjwa, lakini kuna wagonjwa wa dharula wasiopita njia ya kawaida ili wahudumiwe kuokoa maisha yao.

Hivi mbunge akiugulia safarini Dubai, analazimika kurudi DsM kupata vibali vyote aweze kutibiwa?

Bwana Yesu aliichangamotisha sheria ya torati pale alipotibu siku ya sabato na kusema sabato ni kwa ajili ya watu, si watu kwa ajili ya sabato. Hatuwezi kumwacha ng'ombe kisimani kwa sababu ya sabato.

Ugonjwa na ajali havibagui. Kaburi halibagui. Tusibaguane kwa ajili ya majanga yasiyobagua.
 
Kinachonishangaza mpaka kesho yeye katoka hospital juzi tuu kwa fedha za bunge kakaa huko mpaka tumesahau mwenzie mgonjwa aliepigwa risasi hela hataki kutoa? Duuh jamaa ana roho mbaya sana na macho makavu kabisa anatetea ubaya wake...
 
KIGONGO CHA BABA ASKOFU DR BAGONZA KUELEKEA KWA SPIKA WA BUNGE

Kweli common sense is not common. Ebu tufikiri pamoja:

-Wakristo tukihubiri na kuamini ufufuko, tunamaanisha haijalishi mtu alikufaje, lakini siku hiyo atafufuka.
Aliyeliwa na simba, aliyekufa na kuzikwa, aliyepotea asijulikane kazikwa wapi, na hata aliyeyeyuka na ndege iliyopotelea baharini; wote watafufuliwa.

-Mtu angedhani pamoja na kuwa hospitali zote zina taratibu za kupokea wagonjwa, lakini kuna wagonjwa wa dharula wasiopita njia ya kawaida ili wahudumiwe kuokoa maisha yao.

Hivi mbunge akiugulia safarini Dubai, analazimika kurudi DsM kupata vibali vyote aweze kutibiwa?

Bwana Yesu aliichangamotisha sheria ya torati pale alipotibu siku ya sabato na kusema sabato ni kwa ajili ya watu, si watu kwa ajili ya sabato. Hatuwezi kumwacha ng'ombe kisimani kwa sababu ya sabato.

Ugonjwa na ajali havibagui. Kaburi halibagui. Tusibaguane kwa ajili ya majanga yasiyobagua.
Kwa kweli nimetokea kutoliamini bunge na kutomuamini spika wa bunge,, na hapa nimejikuta nikimkumbuka marehemu Sitta kwa ujasiri mkubwa alioufanya wa kuliweka bunge kuwa mhimili kamili Tofauti na sasa bunge limekuwa sehemu ya serikali.
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Mlitaka mukamuuwe kabisa?
 
Kwa serikali hii

Kila alipewa kinafasi hafikilii kwamba ipo siku either atashuka au kufa

Ulevi wa pombe mbaya sana
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Hivi umesoma uzi mzima na kuuelewa?Au umeandika kwa hisia hasi tu?
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Common sense has never been common
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Waliotaka kumuua Lisu waliweza kudhibiti ulinzi wa serikali na hadi leo wana uwezo wa kufanya tena walichokusudia (tafsiri kutokana na eneo, muda wa tukio na yaliyoendelea bila kupatikana kwa wahusika hata watuhumiwa tu).
Katika hali kama hiyo, wangeweza kumfuata hata kwenye hospital iliyo ndani ya nchi.
Kuhakikisha usalama wake ilikuwa ni lazima apelekwe nje ya nchi.
Ni mpumbavu tu, ambaye angekubali Lisu aendelee kubaki nchini katika mazingira hayo, ambayo wahusika hawajadhibitiwa. Vinginevyo naye yupo upande wa wahalifu waliotaka kumuua.
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Where's our 1.5 trillion?
 
Huyu askofu nadhani akagombee uenyekiti wa CHADEMA tu pale nadhani kashaona Mbowe kachoka hana jipya katika chama. askofu Amekuwa mwanasiasa kuliko uaskofu wenyewe na sitashangaa nikiskia askofuu huyu ni mwenyekiti wabchama fulani hapo baadaye.
 
Huyu askofu nadhani akagombee uenyekiti wa CHADEMA tu pale nadhani kashaona Mbowe kachoka hana jipya katika chama. askofu Amekuwa mwanasiasa kuliko uaskofu wenyewe na sitashangaa nikiskia askofuu huyu ni mwenyekiti wabchama fulani hapo baadaye.
Umekunywa chai???
 
Hivi ni nani aliyeamua Lissu apelekwe Nairobi?
1. Madaktari wa Dodoma akiwepo katibu mkuu wa wizara ndani ya serikali hii
2. Familia ya Lissu
3. Mbowe na wenzake kwa kuhofia usalama wa mgonjwa au
4. Ndugai?
Binafsi nauona ujuaji wa Mbowe na genge lake na kwa interest za kisiasa ndio waliosababisha yote haya. Lissu amekuwa wakili kwa muda mrefu. Katetea haki ya mungu na ya kisheria kwa watu wengi tofauti na wakati mwingine kuleta faraja na maumivu kwa wengine. All in all kajiundia maadui wa kila aina ktk kazi hii. Sasa Mbowe na group lake baada ya tukio walitaka kutumia maumivu ya mwenzao kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Lissu alishambuliwa kwa sababu za kisiasa. Na hivyo kumpeleka muhimbili hospital ilikuwa ni ku risk zaidi. Well swali la kujiuliza hapa
1. Kuna kipi kilifanywa na madaktari wa kenya kisingeweza kufanywa na watanzania ambao basically ndio waliomfanya lissu awe hivi leo
2. Kama kungekuwa na jambo baya au mkono wa serikali kummaliza lissu kwanini wasingemmaliza hapa Dodoma tena kwenye jopo la madaktari akiwemo katibu mkuu wa wizara
Maamuzi ya kukurupuka hovyo ndio matokeo yake haya hata hivyo binafsi nashauri
1. Ndugai atumie hekima sasa kuona namna nzuri ya kumaliza tatizo hili
2. Viherehere waliokuwa wanadandia treni kwa mbele kama akina Kubenea wakome kutumia maumivu ya wenzao kujipatia umaarufu. Kwani tunaambiwa lissu anaishi maisha magumu huko Belgium.
3. Tanzania ni nchi huru na inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria hivyo panapotokea matatizo kama ya Lissu ni vizuri vyombo husika kuachwa kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kuelekezwa kwa matakwa na interest za kisiasa .
Upinzani imara na makini unahitajika sana ktk kuharakisha maendeleo na sio uviziaji wa matukio. Wananchi wanaimani kubwa sana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya JPM na wameanza kuuona mwelekeo mzuri wa maisha ya baadae.
Staili ya kuvizia matukio ilishapitwa na wakati
Una imani na utendaji ww, cc hatuna imani mpaka tupewe majibu ya kuridhisha wapi zilipo 1. 5trioni!
 
Huyu askofu nadhani akagombee uenyekiti wa CHADEMA tu pale nadhani kashaona Mbowe kachoka hana jipya katika chama. askofu Amekuwa mwanasiasa kuliko uaskofu wenyewe na sitashangaa nikiskia askofuu huyu ni mwenyekiti wabchama fulani hapo baadaye.
Yanahusiana vipi na ujumbe aliotoa!!
 
Back
Top Bottom