Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,263
- 8,787
kizi sifa...
Hapa kuna tatizo kubwa... Nazani ni njia ya kuwafanya watu wapambane kuvipata na kupunguza umati unao omba ajira...!hivi mbona watu wanapenda kukurupuka kiasi hichi yani watu bado hawajaweka mazingira mazuri ya kuvipata bdo wanaweka tena changamoto kibao wakati unaweza kujiandikisha leo kitambulisho ukapewa 2020
Kuna wazee kijijini kwetu na wenyewe wanasubiria ajilaHapa kuna tatizo kubwa... Nazani ni njia ya kuwafanya watu wapambane kuvipata na kupunguza umati unao omba ajira...!