Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Tunaongea sana ila katika duania hakuna taifa linalojitambua linaruhusu kataifa kadogo kujiuendesha karibu na mipaka yake. Ndo yaliyopo Macao, Taiwan, Hong Kong, Gilblatar, hata visiwa vingi vidogo vinavyo zunguka Marekani, UK, Uholanzi, Ufaransa, Uturuki, Urusi, n.k.
Kwa maana moja hata nyingine, huwa watawala hawako radhi kuachia maeneo kama haya. Sisi tunalalamika ila itabaki hivyo.