Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja

Ndugu naona hunielewi, hata Taiwani ndo ilikuwa na Kiti cha Kudumu Baraza la Umoja wa Mataifa. Ndo nchi ilikuwa na VETO si China. Wengi hatujuagi haya ndo maana tunafanya maandamano kwa laptop zetu.

Tuwe tunaambaiana ukweli. Kwa ZNZ ilipo pale inatakiwa itumie nguvu sana kujitoa kwenye Muungano na si kwenda Marekani kuwaambia wanaotaka muwe chini ya makucha manayoyakimbia.

Kwa hiyo unapoleta historia uwe na uhalisia pia. Ndo maana nikasema, ZNZ inapatwa na haya kwa sababu ya Mataifa mengi yanaonea madogo.
Unalijua Taifa linalojitambua au kutambulika Hivi wewe umo?Zanzibar ilianza kujitambua na kutambulika duniani kabla ya Tanganyika. Nchi ya kwanza kuwa na uhusiano wa kibalozi na USA barani Afrika ni Zanzibar.Tanganyika wakati huo inaitwa MRIMA
 
Tumeungana na nani au tumeungwanishwa bila kuulizwa? Basi ikiwa mnataka iwe nchi moja tieni kifusi muifukie bahari!
Kwani sie tuliulizwa? Hakuna mwenye haja na muungano nikwambie tu ufahamu wanaoutaka ni hao watawala wenye faida nao.usifikiri huku bara tuna shida na muungano mkuu.
 
Zanzibar tafsiri yake ni Unguja, Pemba,Mombasa, Mafia na kisiwa cha Latham.
Mombasa tumeiuza kwa Kenya. Mafia na Latham vimeporwa kwa mabavu na bara. Ikiwa jina la Zanzibar linakutia kichechefu, basi kura ya maoni hiyo iishie Mafia,sio unguja na Pemba tu
Hatuhitaji Tafsiri ya Zanzibar tunahitaji Mkataba wa kuunganisha Unguja na Pemba. Kama ishu ni Tafsiri hata Tanzania ni Muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar.
Nyie ndio mnaihoji muunganiko ulioletwa na Weusi wenzenu lakin mnaona Karaha na bidaa kujadili miunganiko iliyoletwa na Weupe kama ile ya Berlin 1884 chini ya Mabeberu ya kizungu na ile ya Pemba na unguja chini ya Mabeberu ya kiarabu.
 
Ingekua Nchi hii watu wake wako huru na kuna demokrasia iliyojaa ndani ya nyoyo za viongozi wetu, Wazanzibar wangekwisha jitoa kwenye Muungano kabla ya hao Uk. Viongozi wa kiafrika mpaka waone mambo yameshaharibika ndio watatatafuta suluhu ya kweli.
 
mkuu pasco umetoa wazo zuri sana, ila usitegemee kuwa hilo wazo hata kama linaweza kuamuliwa na Zenji haliwezi kukubalika huku bara kwa kuwa zenj hawana ubavu wa kujitoa kwnye muungano ,,,
hii ni kwa kuwa wangeshafanya sku nyingi lakin kumbuka kuwa huu muungano sisi bara ndio tunautaka na sio wao
 
Hatuhitaji Tafsiri ya Zanzibar tunahitaji Mkataba wa kuunganisha Unguja na Pemba. Kama ishu ni Tafsiri hata Tanzania ni Muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar.
Nyie ndio mnaihoji muunganiko ulioletwa na Weusi wenzenu lakin mnaona Karaha na bidaa kujadili miunganiko iliyoletwa na Weupe kama ile ya Berlin 1884 chini ya Mabeberu ya kizungu na ile ya Pemba na unguja chini ya Mabeberu ya kiarabu.
Niruhusa kusema upendacho lakini weka hoja nzito nasi za kitoto, ikiwa hivyo ndivyo nami nipe mikataba ileunganisha Tanga na Kilimanjaro, Dodoma na Singida nk.

Nadhanijitambulishe zaidiuna chuki na waarabu au unachengine. Mie simjui Beberu wa Kiarabu Zanzibar. Wazanzibari walidai uhuru kwa Waingereza kama nyie. Lakini najua kinachokusibu, ambacho hata yule kiongozi wa Mapinduzi John Okello, Eugene na Mfaranyaki walioyasema.

Kwa taarifa Muungano huo haukuletwa na mtu mweusi ni Wamerekani weupe. Pengine ulikuwa hujui, Marekani walikuwa namaslahi Zanzibarna walikuwa wanaendesha kituo cha Rocket za anga ya juu Zanzibar. Pengine pia hujuia kwa sababu ya nguvu za ushawish aliokunazo Comrade Babu kwa Cuba na kwa China na kuifanya nchi hiyo kuwa ya kwanza kuitambua Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hata kabla ya Tanganyika. China ilikuwa ni tishio kwa wamarekani,na wakati huo Nyerere bado alikuwa anavaa suti ndio akaonekana ni mtu mwafaka wa kusimamia muungano
.
 
Kwani sie tuliulizwa? Hakuna mwenye haja na muungano nikwambie tu ufahamu wanaoutaka ni hao watawala wenye faida nao.usifikiri huku bara tuna shida na muungano mkuu.
Mnashida sana na muungano na hata hamsemi kwi ikija hoja kuhusu muungano. Unajikaza kisabuni, na kiroho kipo papo
 
Niruhusa kusema upendacho lakini weka hoja nzito nasi za kitoto, ikiwa hivyo ndivyo nami nipe mikataba ileunganisha Tanga na Kilimanjaro, Dodoma na Singida nk.

Nadhanijitambulishe zaidiuna chuki na waarabu au unachengine. Mie simjui Beberu wa Kiarabu Zanzibar. Wazanzibari walidai uhuru kwa Waingereza kama nyie. Lakini najua kinachokusibu, ambacho hata yule kiongozi wa Mapinduzi John Okello, Eugene na Mfaranyaki walioyasema.

Kwa taarifa Muungano huo haukuletwa na mtu mweusi ni Wamerekani weupe. Pengine ulikuwa hujui, Marekani walikuwa namaslahi Zanzibarna walikuwa wanaendesha kituo cha Rocket za anga ya juu Zanzibar. Pengine pia hujuia kwa sababu ya nguvu za ushawish aliokunazo Comrade Babu kwa Cuba na kwa China na kuifanya nchi hiyo kuwa ya kwanza kuitambua Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hata kabla ya Tanganyika. China ilikuwa ni tishio kwa wamarekani,na wakati huo Nyerere bado alikuwa anavaa suti ndio akaonekana ni mtu mwafaka wa kusimamia muungano
.
Acha Mbwembwe za kurejea kitu ambacho kila mtu anakijua kuhusu historia ya Mapunduzi na Muungano. Nilichokueleza kabla ya kuhoji Uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unapaswa kwanza kuhoji uhalali wa Muungano wa Pemba na Unguja. Sihitaji uhalali wa Muungano wa Tanga na Kilimanjaro kwa kuwa nafahamu kwny Berlin conference na baadae Uhuru wa Nchi za kiafrika ilikubaliwa Mipaka iliyochorwa isalie vile ilivyo.
Hata ikiitishwa kura ya Maoni Wazanzibar wakawathibitishia kutaka kwao kuendelea na Muungano wimbo wenu utakuwa ule ule 'kura zimeibiwa'.
Mnawahadaa Wazanzibar kuwa nje ya Muungano watakuwa kama Dubai kama walivyohadaiwa Sudan kusini kuwa nje ya Khartoum wangekuwa kama Malaysia. Ndani ya Muungano mnabaguana kama vile ni watu wa sayari tofauti hili nalo mtasingizia Muungano?
Muislam mwenzako kafariki unasusia fardhi kifaya kwa tofauti za kisiasa halafu unasingizia Muungano, acheni hadaa za kishaitwaan.
Mmetambulishwa kama "uulil albaab' ili mtumie akili zenu nyie mnatumia akili ya mtu mmoja (Seif) kufikiri umma wote.
Kwa roho mbaya zenu mlikubaliana muisukumizie Tanzania Bara kwa Lowassa ili iangamie mpate kukenua lakin Mola kaepusha hilo na inshallah ataendelea kuepusha hilo
 
Ndugu naona hunielewi, hata Taiwani ndo ilikuwa na Kiti cha Kudumu Baraza la Umoja wa Mataifa. Ndo nchi ilikuwa na VETO si China. Wengi hatujuagi haya ndo maana tunafanya maandamano kwa laptop zetu.

Tuwe tunaambaiana ukweli. Kwa ZNZ ilipo pale inatakiwa itumie nguvu sana kujitoa kwenye Muungano na si kwenda Marekani kuwaambia wanaotaka muwe chini ya makucha manayoyakimbia.

Kwa hiyo unapoleta historia uwe na uhalisia pia. Ndo maana nikasema, ZNZ inapatwa na haya kwa sababu ya Mataifa mengi yanaonea madogo.
Hata Zanzibar ilikuwa na kiti chake Umoja wa Mataifa na hakina deni. N pengine hujui hata hicho kiti kinachotumiwa na Tanganyika ni cha Zanzibar ambacho kilikuwa kimelipiwa kabis kwa miaka 40.N watanganyika ndio waliokuwa wanafaidika.
Panapo nia pana njia
 
Acha Mbwembwe za kurejea kitu ambacho kila mtu anakijua kuhusu historia ya Mapunduzi na Muungano. Nilichokueleza kabla ya kuhoji Uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unapaswa kwanza kuhoji uhalali wa Muungano wa Pemba na Unguja. Sihitaji uhalali wa Muungano wa Tanga na Kilimanjaro kwa kuwa nafahamu kwny Berlin conference na baadae Uhuru wa Nchi za kiafrika ilikubaliwa Mipaka iliyochorwa isalie vile ilivyo.
Hata ikiitishwa kura ya Maoni Wazanzibar wakawathibitishia kutaka kwao kuendelea na Muungano wimbo wenu utakuwa ule ule 'kura zimeibiwa'.
Mnawahadaa Wazanzibar kuwa nje ya Muungano watakuwa kama Dubai kama walivyohadaiwa Sudan kusini kuwa nje ya Khartoum wangekuwa kama Malaysia. Ndani ya Muungano mnabaguana kama vile ni watu wa sayari tofauti hili nalo mtasingizia Muungano?
Muislam mwenzako kafariki unasusia fardhi kifaya kwa tofauti za kisiasa halafu unasingizia Muungano, acheni hadaa za kishaitwaan.
Mmetambulishwa kama "uulil albaab' ili mtumie akili zenu nyie mnatumia akili ya mtu mmoja (Seif) kufikiri umma wote.
Kwa roho mbaya zenu mlikubaliana muisukumizie Tanzania Bara kwa Lowassa ili iangamie mpate kukenua lakin Mola kaepusha hilo na inshallah ataendelea kuepusha hilo
Sasa unajitambulisha nami na kueleza ikiwa muungano wenu umeletwa na Berlin Conference wakati huo Zanzibar tayari imesha shamiri kwa ustaarabu na akili kiasi kuachwa wakati wenye akili wakagawiana na Zanzibar ikapata kugawiwa sehemu yake ya Tanganyika ujojoro wa pwani yote.

Mamlaka ya Zanzibar yalianza Karne ya kwana AD na hapo Muungano wa Zaanzibar na visiwa vyake. Dini ndio iliozidi kuviimarisha baada ya kupokelewa kwa Uislamu miaka ya 1016 na uthibitisho hai upo kutokana na kuwepo msikiti wa Kizimkazi (chimbuko la washirazi) unao umri zaidi ya mika elfu moja na ambao mpaka leo unasaliwa.
 
Sasa unajitambulisha nami na kueleza ikiwa muungano wenu umeletwa na Berlin Conference wakati huo Zanzibar tayari imesha shamiri kwa ustaarabu na akili kiasi kuachwa wakati wenye akili wakagawiana na Zanzibar ikapata kugawiwa sehemu yake ya Tanganyika ujojoro wa pwani yote.

Mamlaka ya Zanzibar yalianza Karne ya kwana AD na hapo Muungano wa Zaanzibar na visiwa vyake. Dini ndio iliozidi kuviimarisha baada ya kupokelewa kwa Uislamu miaka ya 1016 na uthibitisho hai upo kutokana na kuwepo msikiti wa Kizimkazi (chimbuko la washirazi) unao umri zaidi ya mika elfu moja na ambao mpaka leo unasaliwa.
Unajisifia Uislam kuingia Zanzibar karne zaid ya kumi zilizopita lakin Mnazidiwa hata na Wiaslam wa Jamaica waliopokea uislam chini ya Miaka 10 iliyopita. Kuingia kwenu Uislam Znz Mapema kuna faida gani kama mnabaguana kwny Misiba kwa sababu ya vyama?hamzikani,hamuuziani n.k Waislam wa kweli hawachonganishwi kwa namna yeyote wakabaguana na kuchukiana. Rudi kasome Siiratu nnabiy ujifunze. Nyie Wazanzibar mnaudhalilisha Sana Uislam na hamfai kutumika kama Icon ya Uislam hata kidogo.
Nyie kwenu Siasa kwanza Dini baadae
 
Zanzibar tafsiri yake ni Unguja, Pemba,Mombasa, Mafia na kisiwa cha Latham.
Mombasa tumeiuza kwa Kenya. Mafia na Latham vimeporwa kwa mabavu na bara. Ikiwa jina la Zanzibar linakutia kichechefu, basi kura ya maoni hiyo iishie Mafia,sio unguja na Pemba tu

Mkuu Fanya kuelezea vizuri..hii ya Mombasa na Mafia na kisiwa cha Latham..
Ilikuwaje mkauza na vingine kumegwa...
 
Naona we uko busy na Kiti tu. Naokuambia Hata China pale haina ni cha Taiwan na ile VETO ni ya Taiwan, hujui hilo. Pamoja na hayo, Taiwan haipo na haijulikani kwa wengi.

Tuendelee na siasa kama zitatusaidia.
Hata Zanzibar ilikuwa na kiti chake Umoja wa Mataifa na hakina deni. N pengine hujui hata hicho kiti kinachotumiwa na Tanganyika ni cha Zanzibar ambacho kilikuwa kimelipiwa kabis kwa miaka 40.N watanganyika ndio waliokuwa wanafaidika.
Panapo nia pana njia
 
Pasco, Nguruvi3 na mtu zingine zote zinazovaa miwani nyeusi.

Mnajua nini CCM na siri-kali za CCM zimeifanya ile Rasimu ya Katiba ya "Warioba".

Rasimu ile ilikuwa inaleta serikali 3 ambazo zingeweka uwazi wa kila mshirika kujibeba na kuondosha mizengwe.

Kwa ukweli, wapinzani( upinzani) Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu. Upinzani uliamini kiini macho alichofanya Kikwete kuwaaminisha kuwa ataleta Katiba Mpya yenye maslahi ya Taifa au washirika wa Muungano wa Tanzania?
Alichofanya Kikwete kama rais, ni Mwenyekiti wa CCM kuuhadaa umma wa wadanganyika na kuandaa mazingira ya CCM kuendelea kuwatawala Wadanganyika. Kila mtu makini amejionea vipi Tume "huru" za uchaguzi zilivyosimamia usimikaji wa wanaccm katika hatamu za utawala wa Nchi ya wadanganyika.
Tulishauri Upinzani udai Tume HURU za uchaguzi na marekebisho ya sheria ambayo yanaruhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani. Walitujibu hawawezi kumwachia nguruwe shamba la muhogo pekee, walijipeleka kunyolewa na kivuitu.

Katika hali ya uhalisia wa leo wa siasa za Tanzania na ukandamizaji wa demokrasia unaofanywa na siri-kali za CCM kuna anayeamini kwamba Shein aliyesaidiwa na wazuia fyokofyoko kung'ang'ania madaraka atawasikiliza wananchi wake waliokataa kwa kura nyingi tarehe 25.10.2015 na wenye kutoa kilio cha kura ya maoni?

Magu anaweza kuitisha kura ya maoni kama ambavyo Cameroon alifanya UK lakini Magu ni CCM na CCM ina mkakati na mpango wa kuitawala nchi ya wadanganyika kwa miaka mingi ijayo. Magu anaangalia na kuchunga masilahi ya CCM kwanza , mengineyo baadae. Huu ndio ukweli.

Zanzibar Chini ya Uongozi wa Seif Sharif ingeweza kudai au kuitisha kura ya maoni ya Zanexit. Kikwete amenukuliwa akisema " CCM wanakuogopa wewe Seif utavunja muungano".

Zanzibar chini ya Shein ni "fyokofyoko" tu itakayoonesha rangi halisi ya Magu kama ambayo imeanza kujionesha.

Mwenye uwezo wa kuitisha kura ya maoni juu ya hatima ya muungano wa magumashi ni mganga wa majipu tu.
 
Back
Top Bottom