Hahahahaaaa.....wewe bana. Hebu kuja pande hii.
Wapi nilikuwepo?
Pa mwanzo??? Umemsoma mwanzisha thread Babu???
Imekuwaje?...naona anaitwa jina gumu asee.:welcome:
Chukua mawani kwa babu hapo mapana kweli
Naona umeniandama kweli kweli mm nimeomba tufahamiane basi
Unataka uende chemba na nani?Hapaaaaaaaaaaaaaaa??? Nooooooooo twende chemba!!!! sijakuandama bwana pole kama nimekuudhi aisee
Unataka uende chemba na nani?
Habari ya beach......karibu zero pub.
Unataka uende chemba na nani?
Habari ya beach......karibu zero pub.
Aaahhh usijali wewe. Ziro pub kesho basi sasa hivi niko mbali
Usikose kupitia hapa Rombo Green View nipo hapa
Ulikuwepo bwana acha kunizuga
Jamaa kama linafahamika vile