Unaonaje na wao waje wakichome kibanda unachoishi kiteketee chote pamoja na vilivyomo,Mbinu iliyobaki ili kuwaondoa watu (hasa wamachinga na wachuuzi) ni kuwachomea biashara zao, ili kusiwepo na mijadara mingi.
Ukishachomewa biashara serikali haitahusika kwakua litachukuliwa kama janga kuliko kuwaamisha kwa nguvu (migambo).
Maana kama unaona ni bora wachomewe biashara zao kwa lengo la kuondolewa, jipe mfano huu usiku nyumbani kwenu/kwako pawake pote na kuteketeza kila kitu, nafikiri utakuwa umepata hali ambazo wanapitia kwenye majanga ya namna hii!!!