imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,074
- 69,877
Kizuri alichofanya Magufuli ni Daraja la Kigongo tu.si ndio vizuri ili tubondane yatokee babadiliko!!!
magufuli alifanya kazi kubwa ya kuchambua mchele ma chuya,kila mtu kajitambua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizuri alichofanya Magufuli ni Daraja la Kigongo tu.si ndio vizuri ili tubondane yatokee babadiliko!!!
magufuli alifanya kazi kubwa ya kuchambua mchele ma chuya,kila mtu kajitambua.
sisi tumekubaliana kwamba magufuli hakuna alichofanya.Kizuri alichofanya Magufuli ni Daraja la Kigongo tu.
Kiduchusisi tumekubaliana kwamba magufuli hakuna alichofanya.
Na kama hujawahi kuwa na duka Kariakoo halafu nje pana Machinga wasiolipa kodi na wanauza bidhaa kama zako kwa BUSU BEI, lazima upinge kuondolewa kwao. Kila mtu ashinde mechi zake ndg.Kama haujawai kuwa mmachinga hata kwa usiku mmoja lazima uunge mkono hoja.
hakuna kiduchu wala nini.Kiduchu
Wewe wasema,ila mimi nasema Kiduchu na Hasara nyingi alileta ambazo zitatuathiri sisi na Vijukuu na Vilembwehakuna kiduchu wala nini.
Legasi haitetewei,legasi inajitetea yenyewe - Nape.Habari wadau..!
Kipindi cha Magufuli wanyonge walikula bata ila ss nao wataishi kama mashetani mda si mrefu na kuna kila dalili hizo.
Kuna dalili ya kwamba
1. Machinga kuondolewa kando kando ya barabara mda si mrefu
2. Wapo watakaopokonywa makazi yao na matajiri kwa propoganda za kwamba wamejenga katika maeneo yasiyo stahiri wakati miaka yote gavo walikuwa wanakusanya kodi.
3. Muda sasa wa wale wanaojiita wawekezaji kuchukua maeneo ya wanyonge wakati hata wanachokiwekeza hakionekani wala hakina impact yeyote kwa jamii.
Wapo waliokuwa wanajiita wawekezaji kabla ya 2015 waliokwapua maeneo ya watu kwa bei ya mkaa kwa kuwaadaa kwamba wanawasaidia sababu hawastahiri kuishi hapo kisheria na kuwapangia bei ya nyumba na viwanja vyao na kuwafanya watu waishi kama digidigi naona nao wameanza kuamka kuendeleza mchakato wao baada ya kusizi kipindi cha JPM sasa wameamka tena na hii itaathiri sana kaya zile masikini wanapoishi watu wa hali ya chini kama kule kwa Mheshimiwa Gondwe na maeneo mengine ya uswazi uswazi sana .
Hili suala limeanza kuonesha viashiria baada tu ya kuondoka mnayemuita Mwenda Zake ,si semi kwamba wanyonge watamkumbuka la hasha muda bado maana naamini mama anaweza kufanya kitu na hii isitokee .
Ngoja tuone,kazi iendelee.!
hilo daraja la busisi vipi hasara zake?Wewe wasema,ila mimi nasema Kiduchu na Hasara nyingi alileta ambazo zitatuathiri sisi na Vijukuu na Vilembwe
kama ambavyo watu hawasombwi kwenda msibani na kulazimishwa walie.Legasi haitetewei,legasi inajitetea yenyewe - Nape.
Yale Mandege halafu jumlisha na Chato International Airport ya kufugia Mbuzikila mladi wa magufuli ni hasara vizazi na vizazi
madege ambayo moja analipanda mamaYale Mandege halafu jumlisha na Chato International Airport ya kufugia Mbuzi
Hata kama Mama kapanda hakuondoi ukweli kwamba Kodi yetu badala ya kufanya mambo Muhimu inaenda kuwalipa mishahara mikubwa akina Musiba na Veronica France yake na matangazo ya ATCLmadege ambayo moja analipanda mama
na mengine yanaletwa.
kwalweli ni hasara kwa taifa.
si ndio maana nasema hakuna alichofanya!!!!au nakosea sana!.Hata kama Mama kapanda hakuondoi ukweli kwamba Kodi yetu badala ya kufanya mambo Muhimu inaenda kuwalipa mishahara mikubwa akina Musiba na Veronica France yake na matangazo ya ATCL
Alichofanya kikubwa ni kuiba kura zote za Upinzani na ndio atakachokumbukwa na Matagasi ndio maana nasema hakuna alichofanya!!!!au nakosea sana!.
kama ambavyo watu hawasombwi kwenda msibani na kulazimishwa walie.
kuna vitu viko natural tu yaani.
au usombe watu kwa maroli na wasijae msibani!!!Legasi haitetewi bali inajitetea yenyewe ,yanini utoe hamasa kwenye redio na TV watu waende?? Legasi legasi haitetewi.
upinzani wameshamsahau mara moja.Alichofanya kikubwa ni kuiba kura zote za Upinzani na ndio atakachokumbukwa na Mataga
Kabisa halafu kuzaliana hovyo, mwisho wa siku tunaongeza tatizo idadi maskini ,ombaomba.Wapunguzwe unakuta mtu anakimbia Shamba lake Kijijini anakuja Mjini na familia yake ni hatari sana kwa Nguvu kazi ya Nchi