Wanyonge sasa muda wao na wao kuishi kama mashetani, sisi matajiri zamu yetu imekwisha

Kama haujawai kuwa mmachinga hata kwa usiku mmoja lazima uunge mkono hoja.
Na kama hujawahi kuwa na duka Kariakoo halafu nje pana Machinga wasiolipa kodi na wanauza bidhaa kama zako kwa BUSU BEI, lazima upinge kuondolewa kwao. Kila mtu ashinde mechi zake ndg.
 
Mataga wanapata shida. Wanachotaka ni kumgombanisha Rais Samia na Wananchi.
 
Habari wadau..!
Kipindi cha Magufuli wanyonge walikula bata ila ss nao wataishi kama mashetani mda si mrefu na kuna kila dalili hizo.

Kuna dalili ya kwamba
1. Machinga kuondolewa kando kando ya barabara mda si mrefu
2. Wapo watakaopokonywa makazi yao na matajiri kwa propoganda za kwamba wamejenga katika maeneo yasiyo stahiri wakati miaka yote gavo walikuwa wanakusanya kodi.
3. Muda sasa wa wale wanaojiita wawekezaji kuchukua maeneo ya wanyonge wakati hata wanachokiwekeza hakionekani wala hakina impact yeyote kwa jamii.

Wapo waliokuwa wanajiita wawekezaji kabla ya 2015 waliokwapua maeneo ya watu kwa bei ya mkaa kwa kuwaadaa kwamba wanawasaidia sababu hawastahiri kuishi hapo kisheria na kuwapangia bei ya nyumba na viwanja vyao na kuwafanya watu waishi kama digidigi naona nao wameanza kuamka kuendeleza mchakato wao baada ya kusizi kipindi cha JPM sasa wameamka tena na hii itaathiri sana kaya zile masikini wanapoishi watu wa hali ya chini kama kule kwa Mheshimiwa Gondwe na maeneo mengine ya uswazi uswazi sana .

Hili suala limeanza kuonesha viashiria baada tu ya kuondoka mnayemuita Mwenda Zake ,si semi kwamba wanyonge watamkumbuka la hasha muda bado maana naamini mama anaweza kufanya kitu na hii isitokee .

Ngoja tuone,kazi iendelee.!
Legasi haitetewei,legasi inajitetea yenyewe - Nape.
 
Wewe wasema,ila mimi nasema Kiduchu na Hasara nyingi alileta ambazo zitatuathiri sisi na Vijukuu na Vilembwe
hilo daraja la busisi vipi hasara zake?

CAG anasemaje??
vipi waliokuwa anawafanya kazi kwenye kivuko,wamezingatiwa baada ya hapo??
maisha ya samaki nayo yako hapo ndani ya ziwa baada ya nguzo kusimikwa??
vipi uchumi kwa ujumla haujaadhirka maana kuna sheri ilikuwa inauza diesel kwenye kivuko!!!

kila mladi wa magufuli ni hasara vizazi na vizazi
 
madege ambayo moja analipanda mama
na mengine yanaletwa.

kwalweli ni hasara kwa taifa.
Hata kama Mama kapanda hakuondoi ukweli kwamba Kodi yetu badala ya kufanya mambo Muhimu inaenda kuwalipa mishahara mikubwa akina Musiba na Veronica France yake na matangazo ya ATCL
 
Hata kama Mama kapanda hakuondoi ukweli kwamba Kodi yetu badala ya kufanya mambo Muhimu inaenda kuwalipa mishahara mikubwa akina Musiba na Veronica France yake na matangazo ya ATCL
si ndio maana nasema hakuna alichofanya!!!!au nakosea sana!.
 
kama ambavyo watu hawasombwi kwenda msibani na kulazimishwa walie.

kuna vitu viko natural tu yaani.

Legasi haitetewi bali inajitetea yenyewe ,yanini utoe hamasa kwenye redio na TV watu waende?? Legasi legasi haitetewi.
 
Wapunguzwe unakuta mtu anakimbia Shamba lake Kijijini anakuja Mjini na familia yake ni hatari sana kwa Nguvu kazi ya Nchi
Kabisa halafu kuzaliana hovyo, mwisho wa siku tunaongeza tatizo idadi maskini ,ombaomba.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom