Nimekuwa nikisikia mtu anasema fulani ni kiongozi wa wanyonge. Hivi kweli kwa miaka 55 ya Uhuru mtu unaweza kujivunia uwepo wa wanyonge ndani ya nchi yako?
Wanyonge ni kina nani? Kwanini wawepo ndani ya nchi miaka yote hiyo? Je wale watu wenye ulemavu waliokuwa wanakula kichapo Jana kutoka kwa mapolisi ni kundi gani?
Naombeni majibu ya maswali haya yanayonitatiza
Wanyonge ni kina nani? Kwanini wawepo ndani ya nchi miaka yote hiyo? Je wale watu wenye ulemavu waliokuwa wanakula kichapo Jana kutoka kwa mapolisi ni kundi gani?
Naombeni majibu ya maswali haya yanayonitatiza