Darucha
Senior Member
- Dec 28, 2020
- 111
- 206
Huyu DJ mtafsiri wa movies na series za nje anawaponda sana Wanyaturu sijui wamemkosea Nini kwa kweli anaudhi sana huyu. Kila kitu yeye ni Wanyaturu, Wanyaturu mpaka Kero yaaani. Wanyaturu kamshtakini huyu kwa kuwafanya muonekane watu wa Karne ya 20.
Hizi ni baadhi ya kauli zake anazozitoa pindi anapotafsiri movie zake:
1- Bora wanyaturu Mia sita wafe kuliko wazungu wawili maana wanyaturu hawana msaada kwenye Karne hii
2- Watu kumi na wanyaturu wawili almanusra wapate ajali pale Ngaramtoni
3- Ukikuta Mnyaturu kavaa suti lazima uwe na maswali ya kujiuliza "ina maana suti zimeshuka hadhi siku hizi kila mtu anajivalia tu?"
Sio kauli hizi tu, ana kauli nyingine huyu.
Hizi ni baadhi ya kauli zake anazozitoa pindi anapotafsiri movie zake:
1- Bora wanyaturu Mia sita wafe kuliko wazungu wawili maana wanyaturu hawana msaada kwenye Karne hii
2- Watu kumi na wanyaturu wawili almanusra wapate ajali pale Ngaramtoni
3- Ukikuta Mnyaturu kavaa suti lazima uwe na maswali ya kujiuliza "ina maana suti zimeshuka hadhi siku hizi kila mtu anajivalia tu?"
Sio kauli hizi tu, ana kauli nyingine huyu.