Wanyama ambao sio binadamu, waliingiaje katika adhabu ya kifo baada ya Eva/Hawa na Adam kutenda kosa la kula tunda?

Jr B

Member
Jun 14, 2020
24
74
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo.

Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa asile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya(utashi) na akila hakika atakufa.. na kweli baada ya kula tunaona kifo kikaingia duniani.

Vipi kwa wanyama ambao sio binadamu na ambao mpaka leo hii hawana utashi(kwa maana ya kwamba hawakula tunda la mti ule) nao wanakufa pia,kosa lao ni nini?

Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kujibu hili
 
HAWANA DHAMBI MANA HAWANA UTASHI
Walifanyalo siokosa hawana utashi kama ujuavyo mwenye utashi aliambiwa akakaidi mungu anahuruma pamoja mwanadamu alimkaidi alimtengenezea kizazi chawanyama ili kiwe kitoea chake mwanadamu duniani...dhambiyao tulishaibeba tayari
 
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo.

Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa asile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya(utashi) na akila hakika atakufa.. na kweli baada ya kula tunaona kifo kikaingia duniani.

Vipi kwa wanyama ambao sio binadamu na ambao mpaka leo hii hawana utashi(kwa maana ya kwamba hawakula tunda la mti ule) nao wanakufa pia,kosa lao ni nini?

Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kujibu hili
Kila kilicho na uhai kitaonja umauti
 
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo.

Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa asile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya(utashi) na akila hakika atakufa.. na kweli baada ya kula tunaona kifo kikaingia dunian...
Mlilishwa matango pori....hyo stori si ya ukwel ndugu yangu....haiko logical.
 
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo.

Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa asile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya(utashi) na akila hakika atakufa.. na kweli baada ya kula tunaona kifo kikaingia duniani.

Vipi kwa wanyama ambao sio binadamu na ambao mpaka leo hii hawana utashi(kwa maana ya kwamba hawakula tunda la mti ule) nao wanakufa pia,kosa lao ni nini?

Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kujibu hili
Kwenye Bible takatifu kuna mstari unasema na wanyama wataangamia kwa dhambi zako ewe mwanadamu
 
HAWANA DHAMBI MANA HAWANA UTASHI
Walifanyalo siokosa hawana utashi kama ujuavyo mwenye utashi aliambiwa akakaidi mungu anahuruma pamoja mwanadamu alimkaidi alimtengenezea kizazi chawanyama ili kiwe kitoea chake mwanadamu duniani...dhambiyao tulishaibeba tayari
Swali langu hapo sio kuhusu kuwa na dhambi..kwa nini nao wanakufa wakati hawakutenda kosa lililopelekea kifo kwa mwanadamu?
 
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo.

Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa asile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya(utashi) na akila hakika atakufa.. na kweli baada ya kula tunaona kifo kikaingia duniani.

Vipi kwa wanyama ambao sio binadamu na ambao mpaka leo hii hawana utashi(kwa maana ya kwamba hawakula tunda la mti ule) nao wanakufa pia,kosa lao ni nini?

Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kujibu hili
Mwanadamu
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo.

Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa asile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya(utashi) na akila hakika atakufa.. na kweli baada ya kula tunaona kifo kikaingia duniani.

Vipi kwa wanyama ambao sio binadamu na ambao mpaka leo hii hawana utashi(kwa maana ya kwamba hawakula tunda la mti ule) nao wanakufa pia,kosa lao ni nini?

Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kujibu hili
Adam was supposed to be the ruler of the entire creation of god(physical one) ,thus the fall of a leader automatically is the fall of the entire kingdom ,thus the sentence pronounced to adam included his entire kingdom and his subjects(i.e animals,plants etc) ,and the salvation of the leader is the salvation of the entire kingdom,that why we believe that after the judgement day everything would be restored to its original glory/state
 
Mwanadamu

Adam was supposed to be the ruler of the entire creation of god(physical one) ,thus the fall of a leader automatically is the fall of the entire kingdom ,thus the sentence pronounced to adam included his entire kingdom and his subjects(i.e animals,plants etc) ,and the salvation of the leader is the salvation of the entire kingdom,that why we believe that after the judgement day everything would be restored to its original glory/state
Mfano wako unashawishi kidogo..
 
Mwanadamu

Adam was supposed to be the ruler of the entire creation of god(physical one) ,thus the fall of a leader automatically is the fall of the entire kingdom ,thus the sentence pronounced to adam included his entire kingdom and his subjects(i.e animals,plants etc) ,and the salvation of the leader is the salvation of the entire kingdom,that why we believe that after the judgement day everything would be restored to its original glory/state
Pia nimepata kitu kingine hapo "everything would be restored to its original glory/state" kwa maana ya kwamba duinia itaanza upya kama Mungu alivyokuwa anataka iwe..so kumbe pia yale maisha baada ya kifo yatakuwa hapa hapa duniani na sio mbinguni kama wengi tunavyoamini?
 
Pia nimepata kitu kingine hapo "everything would be restored to its original glory/state" kwa maana ya kwamba duinia itaanza upya kama Mungu alivyokuwa anataka iwe..so kumbe pia yale maisha baada ya kifo yatakuwa hapa hapa duniani na sio mbinguni kama wengi tunavyoamini?
Kama kila kitu kitakuwa restored to it's original state ,maana yake hakutakuwa na kifo (death would literally be eradicated) na kama hakuna kifo hakuna hiyo kitu unayoisema "life after death/maisha baada ya kifo" wanadam watakuwa Immortals na wataishi in their rightful place(earth) without death
 
Kama kila kitu kitakuwa restored to it's original state ,maana yake hakutakuwa na kifo (death would literally be eradicated) na kama hakuna kifo hakuna hiyo kitu unayoisema "life after death/maisha baada ya kifo" wanadam watakuwa Immortals na wataishi in their rightful place(earth) without death
Nimekuelewa lakini sasa hivi watu wengi wanaamini kuwa kuna kifo an'then hukumu kama ulivyosema hapo(judgement) na baada ya hukumu wengi tunaamini kuwa kuna kwenda mbinguni,ndipo nikauliza kuwa ishu ya kwenda mbinguni baada ya hukumu sio kweli ila baada ya hyo hukumu na kila kitu kurudi katika orijino yake maisha hayo ya baadaye yatakuwa hapa hapa duniani na sio mbinguni kama tunavyo amini? Labda uniambie kwa muono wako suala la kwenda mbinguni likoje?
 
Back
Top Bottom