Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Mwaka 2015 Mbowe alifanya juu chini ili ampe nafasi Lowassa ya kugombea urais. Na ndipo hapo akakaribisha mamluki kibao toka CCM ambao walikuja kuharibu morali na nguvu tuliyokuwa nayo makamanda tuliotaka ukombozi wa kweli.
Leo hii wanarudi CCM na kutuacha tena kwa dharau na kebehi. Mimi nasema Mbowe hatufai sisi makamanda wenye uchungu
Leo hii wanarudi CCM na kutuacha tena kwa dharau na kebehi. Mimi nasema Mbowe hatufai sisi makamanda wenye uchungu