Wanufaika wa Escrow wakikamatwa wote, serikalini hatabaki mtu, idara wala taasisi!

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,060
22,755
Kama kawaida yangu inapofikia hali hii, maneno huniishia na hivyo kuamua kuziachia picha ziongee...!

f00b9101-0b85-454c-86d2-cf7e31804138-2060x1236.jpeg


IPTL+MBWENI+PIX+1.jpg


iptl-2.jpg


IPTL+1.jpg


__800x800_53d9dcb8c92f6.jpg


192062


AT+3.jpg


IMG_1401.jpg


IMG_1030.jpg
 
Mkuu pamoja na hivyo hoja ya mafisadi tusiijeopadize its time for pay back....
Inawezekana waliopokea msaada hawakujua kama ni pesa za wizi huwezi kuwalaumu
Mkuu kuna individuals hawana maadili kabisaaa wameingiza hasara kupitia heshima za vyeo walivyopewa.
Nasubiri na ile ya kashfa y voda com kuna Rani Meza, Fred Lowasa etc etc hii nchi inaweza kusogea mahali Fulani.....
 
Pesa ya singa singa imepigwa sana wengi wamekula hiyo pesa list ni ndefu wakivutwa wote huko gerezani hakutoshi maana Umati ni mkubwa sana.
 
Mkuu pamoja na hivyo hoja ya mafisadi tusiijeopadize its time for pay back....
Inawezekana waliopokea msaada hawakujua kama ni pesa za wizi huwezi kuwalaumu
Mkuu kuna individuals hawana maadili kabisaaa wameingiza hasara kupitia heshima za vyeo walivyopewa.
Nasubiri na ile ya kashfa y voda com kuna Rani Meza, Fred Lowasa etc etc hii nchi inaweza kusogea mahali Fulani.....
mikataba mipya ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa reli, ukarabati wa Bandari, ujenzi wa Chato Airport, bomba la mafuta toka Tanga ni vyema ipitiwe mapema iwekwe mezani kila mmoja aijue isije kusubiria Magufuli atoke madarakani ndiyo iwe Skendo ya kipindi hicho.
 
Mipesa Yote lkn Jna wamechuchuma mahakamani
Kuna watu wanajua kuwa humiliate watu

OvA
 
Pesa ya singa singa imepigwa sana wengi wamekula hiyo pesa list ni ndefu wakivutwa wote huko gerezani hakutoshi maana Umati ni mkubwa sana.

"Harufu" yake ilifika hadi kwenye viwanja,mashamba na Nyumba ndogo.Nchi ilishehenezwa na "upupupu" wake kila mahali.Ilikuwa kama upepo wa siku ya Pentokoste ambapo kila aliyefikwa na cheche za Upepo ule basi aliongea kivyake kadri alivyoweza.
 
Mbona kwenye kivuko kibovu huo msemo haufanyi kazi? Hata uuzaji wa nyumba za serikali napo haufanyi kazi.
Nntaona kweli PCCB wapo serious if and only if kale ka list k2 ka mkombozi bank hakata pita ivi ivi... la siivyo itakuwa tunachezewa ngoma ya watoto haikeshi
 
Kama kawaida yangu inapofikia hali hii, maneno huniishia na hivyo kuamua kuziachia picha ziongee...!

f00b9101-0b85-454c-86d2-cf7e31804138-2060x1236.jpeg


IPTL+MBWENI+PIX+1.jpg


iptl-2.jpg


IPTL+1.jpg


__800x800_53d9dcb8c92f6.jpg


192062


AT+3.jpg


IMG_1401.jpg


IMG_1030.jpg
Picha haimaanishi kuwa kila mtu ALIYEWAHI KUPIGA picha na mtu kama huyo ni MTUHUMIWA/SUSPECT.

Wengine kwa NIA NJEMA tu WALIPOKEA cheki hizo wakifikiri jamaa ni MSAMARIA mwema kumbe alikuwa AKINUNUA na KUSAMBAZA mtandao wake ili AKIOMBA chochote, apewe First priority/Apewe umuhimu wa kwanza. Kama vile Tender, nk.

MAFISADI na WAHUJUMU mara nyingi sana hutumia njia kama hizi KUNUNUA FAVOR/UPENDELEO.
Bila mpokeaji kuwa na habari. Wakati mwingine hata nyumba atamjengea mtu yeyote ili mradi anajua ANACHOKITAFUTA.
Lakini kwa Awamu ya Tano.HAWATOBOI. Mwamba huu ni mgumu.

Wanawekewa STOP MMOJA baada ya MWINGINE, ili uwe MFANO kwa waliozoea KUJIPENDEKEZA KIFEDHA ili WATUIBIE vizuri. BADO tutaona WENGI waliotuibia WAKIANIKWA hazarani.

Kwa wale waliopigwa picha na mtu kama huyo na kuziweka OFISINI.Afadhali WAANZE KUZIONDOA maana ZITAWAHUSISHA BURE.
Hata hivyo tusiwahukumu watu tu sababu ya picha MOJA.

Unless jamaa aliwajengea Majumba na kuwapa fedha BINAFISI kama induciment /Ushawishi wa kutendewa jambo fulani nk.

Hapo sheria ni lazima itafuata mkondo wake.
Safari hii NO SACRED COW/MTU MUHIMU wa KUTOGUSWA- pindi IKIBAINIKA kuwa alihusika katika mambo MAOVU kama haya.
 
Back
Top Bottom