jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Simba Trust walipitia Mkombozi ama Stanbic?Vipi na benki ya mkombozi?
Simba Trust walipitia Mkombozi ama Stanbic?Vipi na benki ya mkombozi?
Mkuu pamoja na hivyo hoja ya mafisadi tusiijeopadize its time for pay back....
Inawezekana waliopokea msaada hawakujua kama ni pesa za wizi huwezi kuwalaumu
Mkuu kuna individuals hawana maadili kabisaaa wameingiza hasara kupitia heshima za vyeo walivyopewa.
Nasubiri na ile ya kashfa y voda com kuna Rani Meza, Fred Lowasa etc etc hii nchi inaweza kusogea mahali Fulani.....
Stanbic walibeba kwenye virobaSimba Trust walipitia Mkombozi ama Stanbic?