Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,037
- 18,378
Nasubiri majaji wangapi wataikimbia hii kesi.Pesa ya singa singa imepigwa sana wengi wamekula hiyo pesa list ni ndefu wakivutwa wote huko gerezani hakutoshi maana Umati ni mkubwa sana.
Nasubiri majaji wangapi wataikimbia hii kesi.Pesa ya singa singa imepigwa sana wengi wamekula hiyo pesa list ni ndefu wakivutwa wote huko gerezani hakutoshi maana Umati ni mkubwa sana.
Mbona wamesha kimbiaNasubiri majaji wangapi wataikimbia hii kesi.
Wamewakilishwa na huyo sheikh mwenye kanzu nyeusi pichani!
Hahahaaa......ff katika ubora wake! Ni kweli kanzu siyo kiashiria sahihi nimekuelewa.Hivi huyo mwenye kanzu nyeusi ulijuaje kama "sheikh"?
Sikuona jina hata moja linaloashiria kuna "Sheikh" katika ile list ya benki ya mkombozi ya waliopokea mgao kutoka kwa Ruge. In that case, hata list nzima ya escrow.
Acheni kuchafua uzi huu. Faiza Foxy tafadhali....!Wamewakilishwa na huyo sheikh mwenye kanzu nyeusi pichani!
"Harufu" yake ilifika hadi kwenye viwanja,mashamba na Nyumba ndogo.Nchi ilishehenezwa na "upupupu" wake kila mahali.Ilikuwa kama upepo wa siku ya Pentokoste ambapo kila aliyefikwa na cheche za Upepo ule basi aliongea kivyake kadri alivyoweza.
Mmmh nawaswas mbona hii misaada hamna mtu wa upinzani yyte aliyeipata, ni madude ya ccm tu.Mkuu pamoja na hivyo hoja ya mafisadi tusiijeopadize its time for pay back....
Inawezekana waliopokea msaada hawakujua kama ni pesa za wizi huwezi kuwalaumu
Mkuu kuna individuals hawana maadili kabisaaa wameingiza hasara kupitia heshima za vyeo walivyopewa.
Nasubiri na ile ya kashfa y voda com kuna Rani Meza, Fred Lowasa etc etc hii nchi inaweza kusogea mahali Fulani.....
Lumumba kuna warohooo wa fedhaMmmh nawaswas mbona hii misaada hamna mtu wa upinzani yyte aliyeipata, ni madude ya ccm tu.
Tunachezewa kekundu hapa! Time will tell, Rip Bob Marley.Kama kawaida yangu inapofikia hali hii, maneno huniishia na hivyo kuamua kuziachia picha ziongee...!
hawezi kurudi kukujibu mchumia tumbo huyomikataba mipya ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa reli, ukarabati wa Bandari, ujenzi wa Chato Airport, bomba la mafuta toka Tanga ni vyema ipitiwe mapema iwekwe mezani kila mmoja aijue isije kusubiria Magufuli atoke madarakani ndiyo iwe Skendo ya kipindi hicho.
Kugusa wote haiwezekani, Ruge alienda kuwapa maaskofu kwa Imani yake ya kutoa sadaka. Sasa sadaka huwa inakosa gani? Mbona Gwajima anapokea sadaka mpaka ana helkopter na ndege sasa anapanga kununua treni. Majibu ya maaskofu yako kiimani ila wengine sijui.Wote waliopewa fedha za Escrow wakiwemo maaskofu wetu wahojiwe na kama ni mahakamani wapelekwe ili ukweli uweze kujulikana,kila aliegusa hii pesa na yeye aguswe,hakuna namna nyingine sasa,liwalo na liwe