kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Umemaliz chuo 2014?Mm kwa kweli hii dhambi inanitafuna lakn siwezi kulipa,labda wanikamate wenyewe..kwenye taasisi nnayoifanyia kazi tuliandika majina wote tuliosomeshwa na Loan board..majina yakaenda..wenzangu wote kuanzia mwaka juzi wanakatwa..mm peke yangu ndo sikatwi
Sasa maumivu na usumbufu wanaokutana nao ni shida..Mara deni lizidi,mara akatwe deni lipungue kdg,yani shida tupu