Sawa uwe kiande usiwe ila usichepuke kutakuongezea matatizo hutayaona mwanzo ila hapo baadae kaa na baby wako myazungumze ndoa bado changa hiyo shirikisha wazaz pandeHahahaha shughuli nliokua naifanya kabla ya kuoa ndio hiyo hiyo naifanya baada..makaka matajiri na wanafanya shughuli hiyo hiyo hivo biashara yangu imekua rahisi na imebustiwa sana na hawa ila sio kama mie kiande au marioo..
Mama breki pls, i dnt wanna take sides but situation ya jamaa ni ngumu kiukweli. Mwanamke hampendi sasa what he gotta do? Stay unhappy for the rest of his life?Hakuna shida yoyote kama mnapendana, shida ni pale mmoja anapokuwa kimaslahi
Anaelewa ila yeye ameamua aendane na mleta mada anavyotaka maana pamoja na ushauri na nini lakini anaonekana tayari ana majibu yake so Extrovert imebidi aende nae sawa tu kwa upande ule yeye anapotaka japo sisi wengine tumemshauri kuwa sio upande sahihi kwenda.Hata kaka yako Extrovert anakuelewa sana sema anajifanya kichwa ngumu
Wanawake huwa tunapenda taratibu, anaweza kuwa hakukupenda kihivyo akategemea mapenzi yataendelea kukua kadri anavyoishi na wewe ila baadae akagundua kuwa unamtumia kama fursa. Hata hivyo mkeo mstaarabu pamoja na kuwa amejua humpendi bado amekuacha uendelee kumtumiaSasa kwann alikubali kuolewa na mm kama hanipendi?
😂😂😂😂😂😂 jamani kuisoma saikolojia ya mtu ni jambo la kwanza kabisa kabla ya kutoa ushauri. Usipoweza hilo ushauri wako hauwezi kuwa effectiveAnaelewa ila yeye ameamua aendane na mleta mada anavyotaka maana pamoja na ushauri na nini lakini anaonekana tayari ana majibu yake so Extrovert imebidi aende nae sawa tu kwa upande ule yeye anapotaka japo sisi wengine tumemshauri kuwa sio upande sahihi kwenda.
Ameshaamua inaonekana hakuna chenye kitamrudisha nyuma. Mpaka nimekumbuka freedom song moja inaitwa "Ain't gonna let nobody turn me around"
Mama breki pls, i dnt wanna take sides but situation ya jamaa ni ngumu kiukweli. Mwanamke hampendi sasa what he gotta do? Stay unhappy for the rest of his life?
Put that in your shoes, ungekuwa unaishi na mimi sikuheshimu regardless of all the efforts unazofanya kuonesha upendo. Mie ndio nimekufinance katika miradi yako na nasaidia familia yako kwa asilimia kubwa. Would you just stay calm forever licha ya vitimbi vyote? Unaweza vumilia vituko vya mtu ambaye unajua fika hakupendi? Au haoneshi upendo for 3 consecutive years?
What makes you think thats something easy mama. Mwanamke ameonesha ni aidha mtoto ama hana adabu. Mtu anaewaza unamtumia ikiwa mnashare almost kila kitu kwenye maisha na mnakaa pamoja ana matatizo ya akili no doubt!Wanawake huwa tunapenda taratibu, anaweza kuwa hakukupenda kihivyo akategemea mapenzi yataendelea kukua kadri anavyoishi na wewe ila baadae akagundua kuwa unamtumia kama fursa. Hata hivyo mkeo mstaarabu pamoja na kuwa amejua humpendi bado amekuacha uendelee kumtumia
Kwahio jamaa aondoke? Aache mke na ndoa ivunjike? Ama awe na mchepuko ndoa iendelee kuwepo mpaka mke atapobadilika?Huyo mwanamke angekuwa hampendi si angesharudi kwao? Maana kwa hali inavyoonesha hiyo ndoa ikivunjika mke hana cha kupoteza economically Do you know how it feels kukaa na mtu ambae humpendi? Acha masihara bwana
Hahaha ila unazingua kwa namna ingine arif. Effectiveness ya huo ushauri wako tutaipimaje? Si kwa matokeo positive? Sasa hebu fanya risk assessment uone kama huo ushauri utamletea matokeo mazuri!jamani kuisoma saikolojia ya mtu ni jambo la kwanza kabisa kabla ya kutoa ushauri. Usipoweza hilo ushauri wako hauwezi kuwa effective
Aongee na mkewe amweleze kwa nini anabehave that way ikibidi ahusishe na wazazi (najua hapa hawezi kwa kuwa ameshasema familia ya mwanamke inamfaa saba kiuchumi) kumuacha ili aanze upya hataki. Sina cha kumshauriKwahio jamaa aondoke? Aache mke na ndoa ivunjike? Ama awe na mchepuko ndoa iendelee kuwepo mpaka mke atapobadilika?
Which is better among the two?
Isingekuwa mbaya lakini kama ungeongezea mawili matatu hata kama mleta mada hatafaidi sisi wengine tutajifunza kutoka kwako.
Kumbuka sikutaka ushauri,mpaka naandika huu uzi nilishaamua nataka nini..Anaelewa ila yeye ameamua aendane na mleta mada anavyotaka maana pamoja na ushauri na nini lakini anaonekana tayari ana majibu yake so Extrovert imebidi aende nae sawa tu kwa upande ule yeye anapotaka japo sisi wengine tumemshauri kuwa sio upande sahihi kwenda.
Ameshaamua inaonekana hakuna chenye kitamrudisha nyuma. Mpaka nimekumbuka freedom song moja inaitwa "Ain't gonna let nobody turn me around"
Ati?? How did u know that young boyYour wife is your first friend bro. What you're looking for is more trouble. Solve your mishaps with your wife and focus on your marriage.
Talk to each other, it's the only natural remedy.
Isingekuwa mbaya lakini kama ungeongezea mawili matatu hata kama mleta mada hatafaidi sisi wengine tutajifunza kutoka kwako.
Ujue mpaka Daby ameomba mchango wako hapa ameona kuwa utakuwa wa thamani sana. Share hizo busara zako bwana acha kutubania.