Wansheri kenya, kuomba mshitakiwa wa kunyanyasa dr ulimboka.kushitakiwa mahakama za kenya

[h=6]RAIA wa Kenya, Joshua Mulundi (21) amekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumteka na kufanya jaribio la kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk Steven Ulimboka[/h]
Hivi ni kwa nini wampandishe kizimbani bila ya kufanyiwa gwaride la utambulisho na mlalamikaji ambaye bado yuko mahututi south afrika,
Hapa serikali bado inazidi kujichanganya tu,
 
Hivi hawajui kuwa Kenya wako serious na raia wao na watakuja juu kutaka ukweli na haki kwa raia wao?wamefanya utafiti wao?au wameomba kwa SS ya Kenya wapatiwe mtu zuga kama huyo?ni aibu sana kwa Kova kupiga siasa na propaganda
 
JAMANI DUNIANI KOTO HAMNA KAZI NGUMU KAMA KAZI YA 'KULAZIMIKA KUKUMBUKA VYA UONGO' ILI KUWEZA KUCHONGA SURA KUONEKANA MSEMAKWELI WAKATI WOTE

Kwa jinsi ambavyo tamthilia hii inachukua kuna nyingi kama 1000 kidogo, je washiriki kweli watakua na uwezo wa kukumbuka kila pindisho hadi huko Kenya bila ya watu kuanza KURUKA NA KUKANYAGANA ki-maelezo humu???

Jamani unapojiandaa kuwadanganya umma ambao ni pamoja na ma-mbumbumbu na wengine wenye akili nyingi tu, ni vema ukajiuliza maswali magumu yote na kuyaandalia majibu ya kuaminika.

Kamanda Kova na Ahmed Msangi laiti wangeomba ushauri hapa JF mambo yasingebumburuka kwa aibu kiasi hiki.

Wanasheria nchi Kenya wanojipanga kuomba shauri la mtekaji wa dk Ulimboka kuamishiwa nchini kenya.
. Hii ni kuamini kuwa Haki ya mteja wao aitatendeka kutokana na political pressure. :israel:
 
Nimefanikiwa kuiona picha ya uso wa Kamanda Kova, mimi sio mtaalam wa saikolojia ila nikiunganisha matamshi yanayokwama kwama na ule uso! Dhamira iliyokunjamana na maneno kama Gangster hakuna chembe ya ukweli katika hili na wala Kova hana uhakika na anachokifanya japo ukweli anaujua!
 
Hatudanganyikiiiiiiiii!......Shame on them magamba hawa!
Sisi ni Wadanganyika ndio maana tunadanganywa na tunadanganyika. Subiri, hata wiki mbili hazitapita, na hili litakuwa "Ni upepo tu, litapita", kama ilivyokuwa "Liwalo naliwe" na likakuwa na kupita. We don't have guts!
 
:sleepy:
Wanasheria nchi Kenya wanojipanga kuomba shauri la mtekaji wa dk Ulimboka kuamishiwa nchini kenya.
. Hii ni kuamini kuwa Haki ya mteja wao aitatendeka kutokana na political pressure. :israel:

Kenya wanaona kama raia wao amehusishwa,basi na wao wanataka "piece of the pie",sijui kama watawahonga na wao ama vipi,na issue kama hii ambayo sasa ni international kwasababu imevuka mipaka,why not interpol?
 
Sisi ni Wadanganyika ndio maana tunadanganywa na tunadanganyika. Subiri, hata wiki mbili hazitapita, na hili litakuwa "Ni upepo tu, litapita", kama ilivyokuwa "Liwalo naliwe" na likakuwa na kupita. We don't have guts!

Daaah no coment!


Hapo red wala sibishi......nilishawahi kusema siku moja watanzania ni mabingwa wa kusema kuliko kutenda.......yaani hatuna maamuzi huwa tunaishia kulalamika tu !......hakuna ugonjwa mbaya kama WOGA!
 
Back
Top Bottom