chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 580
- 245
Ukweli ni huu: wadada wengi wa kitz au kiafrika mkishasoma mnakuwa na maisha ya movie; unapoteza uafrika wako ambao ndio chimbuko la ndoa. Unakutana na demu siku ya kwanza ananyonya "barafu" na kumeza maziwa yake directly utamuoa huyo kweli? Haya ndio maisha ya movie! Pia unakuwa na un-attainable ambitions, mtu anaekusogelea akisikia anakula kona. Halafu huwa unafall in love easily, like one 9t standing huo ndio uzungu nausema. My advice, to get married in Africa by an African man be African lady, behave. Na sio una PhD una-network na darasa la saba, dereva au konda wa basi, fundi wa garage, mfagizi etc hata kama ni handsome hawezi kukuoa. Tafuta status yako, sio upo kwenye training na wasomi wenzako unampeleka konda wako anaekuchakachua mbele ya hao wasomi, watakudharau hati aliekuwa na nia anaifuta hapohapo. Fuata ushauri wangu, you will get married soon.
PHD student..............hapo dada lazima uwe muangalifu kidogo, hicho kisomo, kinatisha vijana wengi!!!!, Ukianza kujuana na kijana usimuulize kasoma mpaka wapi, nawe pia usimueleze kisomo chako.