inols
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 283
- 97
Ungependa wananchi wakukumbuke kwa yapi?
"Wanikumbuke kuwa nilikuwa rais niliyewatoa hapa nikawapeleka pale"
Kuna msemo mmoja katika vitabu vya dini unaosema kuwa "pasipo maono watu uangamia".
Ni kweli hatuwezi kupingana na uhalisia wa kuwa Mhe J. Mrisho Kikwete ni Rais wa watanzania wote, lakini tungependa sana akiwa anatoa hotuba yake ya kwanza ktk bunge jipya atueleze alitutoa wapi? na ametupeleka wapi? na atazamia kutupeleka wapi? Maelezo haya yasiyo ya blaaah blaaah bali yawe ni maelezo ambayo tutaweza kuya quantify.
"Wanikumbuke kuwa nilikuwa rais niliyewatoa hapa nikawapeleka pale"
Kuna msemo mmoja katika vitabu vya dini unaosema kuwa "pasipo maono watu uangamia".
Ni kweli hatuwezi kupingana na uhalisia wa kuwa Mhe J. Mrisho Kikwete ni Rais wa watanzania wote, lakini tungependa sana akiwa anatoa hotuba yake ya kwanza ktk bunge jipya atueleze alitutoa wapi? na ametupeleka wapi? na atazamia kutupeleka wapi? Maelezo haya yasiyo ya blaaah blaaah bali yawe ni maelezo ambayo tutaweza kuya quantify.