Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,782
Kama wangekuwa ni wajanja na wangekuwa na nia ya kutikisa nchi basi kwa maoni yangu wangewashika Bongo flava na Bongo movie hao ndiyo ambao wangeweza kuamsha halaiki ya Watanzania na kuingia barabarani lkn siyo Askofu sijui Pentekonste, tec, mara kkkt , hao hawawezi kitu, lkn ukimshika Mondi akaamua kukinukisha utajaza barabara, ...